Raha ya pombe kulewa....na huyo alipo hapo haachi ng'oooo hata wangemfanya kitu mbaya
Ulevi wa pombe ni km wa JF
we wakikufanya kitu mbaya huachi Jf??
Mwingine alilewa akashindwa kurudi kwake na kuamua kulala njiani, ajabu asubuhi alikutwa amekubatia gogo(kipande cha mti ulioangushwa) akidhani ni mama ya watoto yake...
we wakikufanya kitu mbaya huachi Jf??
Hahahahaaa siachi ng'oooRicky linasubiriwa jibu hapa!
Yan kuacha JF ni kupoteza raha fulani....ila JF inatuteka sana lolwe wakikufanya kitu mbaya huachi Jf??
kitu mbaya ndio nn?
Teh kitu mbaya si kama kumwagiwa matopeWenyewe naona wameelewana..
Wenyewe naona wameelewana..
Teh kitu mbaya si kama kumwagiwa matope