<br />huyo mzee alivomlafi wa madaraka sisdhani kama atautema ubunge.
- Amejitoa NEC, sasa hivi huko ndani kivumbi cha kumtoa na mzee wa Richimonduli ambaye hakubali so far!
Willie @ NYc, USA.
Mkuu unavyojiumauma...hembu tupe source kwanza!!
- Amejitoa NEC, sasa hivi huko ndani kivumbi cha kumtoa na mzee wa Richimonduli ambaye hakubali so far!
Willie @ NYc, USA.
- According to the datas, Chenge ameachia ngazi rasmi leo ndani ya CC inayoendelea sasa hivi Dodoma!
Willie @ NYC, USA.
habari za hivi punde kutoka kwa mzee wa vijisenti ni kwamba, ameshinikizwa sana kujiuzulu. Ila ametamka wazi kwa watu wake wa karibu mm nikiwa mmoja wao, kwamba, akiondoka, anaondoka moja kwa moja hadi ubunge. Mzee anaogopa JK akammaliza kwa maana anafahamu madhambi mengi sana ya JK ambayo anaweza kulazimika kuyamwaga hadharani. Tulipoongea mwisho, kama kawaida alikuwa na dharau sana na hasira kwa mwenyekiti. Ameapa, mwendo ni ule ule wa RA. Akilazimishwa kung'oka ni mpaka ubunge... habari ndo hiyo. LA haguswi kariba robo tatu ya wana CC ni washirika wake. Akitoka naye JK anaondoka
Etlist maelezo yana nyama...
waachie ngazi tuchukue majimbo yetu! makamanda waongezeke bungeni!
Mkuu wasiliana na FMES basi aje humu,tuna miss midata yake bana.- According to the datas, Chenge ameachia ngazi rasmi leo ndani ya CC inayoendelea sasa hivi Dodoma!
Willie @ NYC, USA.
Mkuu wasiliana na FMES basi aje humu,tuna miss midata yake bana.