UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,527
- 7,729
​Bila kuondoka JK CCM haitapona.
mimi naoana wote hao mapacha 3 wakiondoka bado mambo yatakua hyu ni mwenzetu kama kawaida yao...
Kikao kimemalizika sasa hivi ila wametokea mlango wa nyuma na wajumbe wanaelekea Dodoma Hotel kupata chakula. Najitahidi kupata sauti ya January Makamba
- According to the datas, Chenge ameachia ngazi rasmi leo ndani ya CC inayoendelea sasa hivi Dodoma!
Willie @ NYC, USA.
<br />kikao hakijaisha wacha kupotosha. Imebaki agenda ya Igunga. Malecela kashauri watu waliobaki wafukuzwe leo, lakini hakuna aliyeunga mkono wala kukataa. wameipotezea tu.
Acheni kudanganya watu,, nilichosema nina uhakika asilimia mia. Kikao kinaendelea na sasa wanajadili agenda ya Igunga. Hoja ya Malecela ya kuwafukuza waliobaki hakuna aliyesema chochote kuunga ama kupinga. Kikao kiinaendelea na mimi nipo hapa, acha kupotosha wattu, acha kutafuta sifa za kijinga kwa kudanganya watu, ni mjinga tu anaweza kuamini eti wametokea mlango wa nyuma! This guy is not here at all.. anataka sifa tu<br />
<br />
we unaongea upo Mtwara
Ha ha ha haaaa mtu wa NYC leo data zimepinda Tetesi na Rasmi wapi na wapi,- According to the datas, Chenge ameachia ngazi rasmi leo ndani ya CC inayoendelea sasa hivi Dodoma!
Willie @ NYC, USA.
<br />Acheni kudanganya watu,, nilichosema nina uhakika asilimia mia. Kikao kinaendelea na sasa wanajadili agenda ya Igunga. Hoja ya Malecela ya kuwafukuza waliobaki hakuna aliyesema chochote kuunga ama kupinga. Kikao kiinaendelea na mimi nipo hapa, acha kupotosha wattu
Usitoke nje ya topic hapa. Hatumuongelei Masha hapa,, unawadanganya watu kujifanya eti una data kumbe you are just a bit of a bore,, tunaongelea CC ya CCM, kikao hakijakwisha hapa na agenda iliyopo ni ya Igunga,, January ame present paper yake safi kuhusu hali ya kisiasa. Hoja ya Malecela ya kufukuza waliobaki, haijapingwa wala kuungwa mkono hapa. Waungwana wa JF kama naongopa mtaona ukweli kwenye media,, na kuanzia hapo please note jina la huyu PHILANDERER kwamba ni MUONGO na anatafuta umaarufu tu hapa. Mark my words........kikao kinaendelea<br />
<br />
Unachojua ni kumfagilia Masha tu wewe. Sasa kama upo mkutanoni mbona unashindwa kusema kama EL na AC wameshatimuliwa?
Ok, sasa kikao kimekwisha rasmi na wajumbe wanatoka .......Mwigulu Nchemba ndiye aliyepewa mikoba kuongoza kampeni Igunga.. EL, na Chenge watajadiliwa NEC ijayo. yuko wapi huyu PHILA.......?? Shame on you!! kwa kuwapotosha watu hapa. Wee umejisajili jana,, elewa JF watu wako makini,,,, siku nyingine ujipange kuleta mada hapa chundu mkubwa weee
<br />>tena wamcharaze viboko 6 kila siku mpaka miaka selasini yake ya jail iishe!