wakumshtaki nani????gire si umeskia kaigaragaza serikali????mi nadhani kama amejivua gamba kinachofuatia ni kushitakiwa na kurudisha mali za taifa hili maana naona kama kuachia ngazi ndo imekuwa fashion ya kusamehewa mabaya ambayo yamekufanya uachie ngazi,wasiposhitakiwa basi wananchi wataaamua
huyo mzee alivomlafi wa madaraka sisdhani kama atautema ubunge.
anahamu wanavyomshambuliaga.Nape yuko kwenye FB hasemi CHOCHOTE KUHUSU CC
Nape yuko kwenye FB hasemi CHOCHOTE KUHUSU CC
Umejuaje kajivua "uNEC"? Tumeambiwa "kaachia ngazi," inawezekana kajitoa ujumbe wa Kamati ya Maadili au kaachia ngazi ya kuwa registered advocate of the High Court au kaachia ngazi ya umeneja wa mashamba yake.Vip kajitoa na Ubunge au ni uNEC tu?
- According to the datas, Chenge ameachia ngazi rasmi leo ndani ya CC inayoendelea sasa hivi Dodoma!
Willie @ NYC, USA.
>tena wamcharaze viboko 6 kila siku mpaka miaka selasini yake ya jail iishe!hilo lina manufaa gani kwa taifa letu. I just thought the man has returned all that he has stole from us and he is serving 30 years in jail.
nakubaliana nawe kwamba jk aachie ngazi. Leo hii kasulu-kigoma mafuta petrol yako kituo kimoja World oil.wanauza sh 2350/=,kuyapata kayi.waranguzi wanaouza sh 2500 leo wameuza elfu 3. Tatizo sio chenge,rostam na lowasa,the all system have to be overhauled immediatelyTunataka na JK naye ajivue gamba pamoja na orodha ya mafisadi wakuu 11 (list of shame ya Mwembe Yanga).
Huo ni usanii kutaka kutudanganya...mbona tangu Rostam aachie ngazi hali haibadiliki? Mafuta waisema yatashuku bei yanazidi kupaa, sukari bei usitaje, na mwezi wa Ramadhani unaanza dk yoyote kuanzia sasa mambo yanazidi... wasitudanganye hao
sio atatautema! Safarihii atatemwahuyo mzee alivomlafi wa madaraka sisdhani kama atautema ubunge.