kujivua gamba si suluhisho tosha tungependa wafikishwe mahakamani kujibu shutuma zao ili angalau turudishiwe kile walichokiiba. Siyo kujiondoa kwenye siasa alafu wanaendelea kula bata mtaani.
Haipendezi na ni kinyume cha kanuni kufanya hili lakini Mods mnisamehe sana kutokana na maneno na lugha wanayotumia katika mabandiko yao FMES na Willie@NYC,USA huwa nahisi they are one and the same. Just thinking aloud!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.