Kumbe kitendo cha CUCU kuingia ndani katika kiungo kwa kiingereza ndo huitwa KUOVERLAP?

Acha kabisa kuweka maneno ya kiingereza usiyoyajua yanamaana gani mkuu, UNAONEKANA MJUAJI (unaonekana unaandika nonsense)
Hata overlap inaweza tumika hapo japi overload ni sahihi zaidi
Overlap maana yake ni kuingilia eneo lisilo lako. Nenda kacheki kamusi.
 
Mauricio Pochettino:

"Tukiongelea uchezaji, nadhani tuna uhakika kama tulistahili pointi tatu na kuzungumzia uchezaji mzuri tupo kwenye nne bora, matokeo na ushindani ni tofauti na nakubaliana na ninyi [Mashabiki] kuwa hatukushindana vyema mwanzoni... "

[kupitia Chelseafc]
 
Pochettino kasema yuko gizani, hajui kama wamiliki wako nyuma yake au la. Amedai hajui kama atakuwepo msimu ujao.

Mauricio Pochettino: "If there's a decision and someone says to me 'ciao', okay. But because we don't know at the moment, then I suppose I will be here.

You need to ask the club, whether the club wants me or not." standard.co.uk/sport/football… #CFC
 
Kitu kizuri ni kwamba tumeshinda lakini jambo jema zaidi ni kwamba benchi la ufundi la wachezaji sasa wanaonesha kurekebisha makosa yao. Wachezaji wanajituma na kusikiliza wanachoambiwa.

Jackson positioning yake mpaka kupata lile goli. Ana juhudi ila makosa madogo madogo apunguze. Cucurela superb, Galagher majestic hasa akicheza chini ya namba 10, Caicedo akicheza bila Enzo naona ndio anakua wa moto zaidi, Chalobah anarudi kule tunakotamani wengi.

Hatuko FA na tumebakiza mechi 4 tu kama timu itaendelea hivihivi tunaweza maliza nafasi nzuri mzimu ujao na points 63.
Shida Enzo akirudi Gallagher hatumiki tena chini
 
Mpaka sasa sijui yupi nimpende kweli kati ya The Citizens na Chelsea
Baby wewe ni Yanga mwenzangu mpaka hapa wewe ni The Blues pia, basi tu unataka kukaza moyo uniumize, karibu chamani haya ya sasa mapito tu ya msimu mmoja mwakani utaona shughuli yetu.
 
Baby wewe ni Yanga mwenzangu mpaka hapa wewe ni The Blues pia, basi tu unataka kukaza moyo uniumize, karibu chamani haya ya sasa mapito tu ya msimu mmoja mwakani utaona shughuli yetu.
Tatizo man city nayo inanikuna moyo, jana tumempiga mtu 5 yaani ni kama yanga tu😎
 
Kwahiyo mechi ya jana tumeshinda bila coaching ability? Yaan unataka kumaanisha hawa wachezaji ambao sio average(kwa mujibu wako) ndio wamepelekea tumepata ushindi bila kuwa na effort ya kocha.
Mkuu nahisi wewe una umri wa kutosha kujibu hoja kwa hoja.
Mada yangu ni uwezo wa wachezaji sio kocha
Tulichotaka Poche afanye tangu aanze ndicho alichofanya game na Vila na hii ya Spurs
Tweak ya Cucurella kucheza midfield akiwa LB imeiboost sana viungo kwenye ukabaji.
Pivot ya Caicedo na Gallagher imelazimishwa na injury japo alitakiwa siku nyingi kumtumia Gallagher deep
Mf na defence imebalance kwa sababu ya hiyo tweak. Ilikuwa ni kazi rahisi tu ila kocha wako Poche ni sturbon na mwoga. Mfahidhina yule imemgharimu sana
Tangu mwanzo tuliwaambia hawa wachezaji wazuri ninyi mkakazia ni average players. Wanacheza tofauþi nà maaelekezo ya kocga.
Too bad kwa sababu angefanya hivi tungekuwa sasa tupo top 4 na sio vila timu za kuunga unga
 
Mkuu nahisi wewe una umri wa kutosha kujibu hoja kwa hoja.
Mada yangu ni uwezo wa wachezaji sio kocha
Tulichotaka Poche afanye tangu aanze ndicho alichofanya game na Vila na hii ya Spurs
Tweak ya Cucurella kucheza midfield akiwa LB imeiboost sana viungo kwenye ukabaji.
Pivot ya Caicedo na Gallagher imelazimishwa na injury japo alitakiwa siku nyingi kumtumia Gallagher deep
Mf na defence imebalance kwa sababu ya hiyo tweak. Ilikuwa ni kazi rahisi tu ila kocha wako Poche ni sturbon na mwoga. Mfahidhina yule imemgharimu sana
Tangu mwanzo tuliwaambia hawa wachezaji wazuri ninyi mkakazia ni average players. Wanacheza tofauþi nà maaelekezo ya kocga.
Too bad kwa sababu angefanya hivi tungekuwa sasa tupo top 4 na sio vila timu za kuunga unga
Sorry mkuu nilikusudia kujibu hii reply nikakosea
Kwahiyo mechi ya jana tumeshinda bila coaching ability? Yaan unataka kumaanisha hawa wachezaji ambao sio average(kwa mujibu wako) ndio wamepelekea tumepata ushindi bila kuwa na effort ya kocha.
 
Ability ya coach jana na game za aston villa ndio tumepata point ila Poch ni mjinga kitu anachokitumia jana ndio alichokitumia pre season why aliacha hiyo approach wakat league imeanza yani anashtuka almost league ishaisha na tuko katika hali mbaya


Imemchukua miezi 8+ kurudi kwenye kitu alichokuwa anakifanyia kazi pre season why .
Sorry mkuu nilikusudia kujibu haya maoni
Kwahiyo mechi ya jana tumeshinda bila coaching ability? Yaan unataka kumaanisha hawa wachezaji ambao sio average(kwa mujibu wako) ndio wamepelekea tumepata ushindi bila kuwa na effort ya kocha.
Kwa kutumia haya maoni yangu
Mkuu nahisi wewe una umri wa kutosha kujibu hoja kwa hoja.
Mada yangu ni uwezo wa wachezaji sio kocha
Tulichotaka Poche afanye tangu aanze ndicho alichofanya game na Vila na hii ya Spurs
Tweak ya Cucurella kucheza midfield akiwa LB imeiboost sana viungo kwenye ukabaji.
Pivot ya Caicedo na Gallagher imelazimishwa na injury japo alitakiwa siku nyingi kumtumia Gallagher deep
Mf na defence imebalance kwa sababu ya hiyo tweak. Ilikuwa ni kazi rahisi tu ila kocha wako Poche ni sturbon na mwoga. Mfahidhina yule imemgharimu sana
Tangu mwanzo tuliwaambia hawa wachezaji wazuri ninyi mkakazia ni average players. Wanacheza tofauþi nà maaelekezo ya kocga.
Too bad kwa sababu angefanya hivi tungekuwa sasa tupo top 4 na sio vila timu za kuunga unga
 
BREAKING NEWS: Mawasiliano ya kwanza kati ya Chelsea na Napoli kwa Victor Osimhen. Wazo la Chelsea - €80-90m + Lukaku na mchezaji mchanga. (@DiMarzio)
 
Pochettino kasema yuko gizani, hajui kama wamiliki wako nyuma yake au la. Amedai hajui kama atakuwepo msimu ujao.

Mauricio Pochettino: "If there's a decision and someone says to me 'ciao', okay. But because we don't know at the moment, then I suppose I will be here.

You need to ask the club, whether the club wants me or not." standard.co.uk/sport/football… #CFC
Kulingana na vyanzo, uhusiano wa Pochettino na wamiliki wa Chelsea ni mbaya sana.
Sasa wamiliki wameshaweka kwenye oroďha baadhi ya makocha watakaomridhi Pochettino mikoba
Ruben Amorim ni mmoja wa kocha aliyewekwa tayari endapo Pochetino atakatiziwa mkataba wake.
Tukumbuke tu pia kuwa Amrim alikuwa jijini London wiki hii kwa mazungumzo ya siri.
 
BREAKING NEWS: Mawasiliano ya kwanza kati ya Chelsea na Napoli kwa Victor Osimhen. Wazo la Chelsea - €80-90m + Lukaku na mchezaji mchanga. (@DiMarzio)
Huyu DImarzio akisemaga kitu juu ya uhamisho wa wachezaji hasa wa Itally inakuja kuwa kweli. Trusted source for Iyally Transfers
 
20240505_091321.jpg
 
Borussia Dortmund wapo kwenye mazungumzo na Chelsea wakitumaini kukwepa RC ya Maatsen ya pauni milioni 35.

#CFC [@JacobsBen]
 
Lineup 4-2-3-1

------------Jackson-------------'
Mudryk -----Palmer -----Madueke
----Galagher -------Caicedo--
Cucurella Badiashile Silva Chalobah
-------------Petrovic-----------

Bench:
  1. Bettinelli,
  2. Gusto,
  3. Disasi,
  4. Colwill,
  5. Gilchrist,
  6. Casadei,
  7. Sterling,
  8. Nkunku,
  9. Deivid
 
Back
Top Bottom