Kilakshari
JF-Expert Member
- Dec 13, 2008
- 350
- 20
Pingpong, nimeulizia Dar es salaam nimeambiwa kuwa 2-0 Stars kashinda na mpira umekwisha. Habari ndio hiyo, ila kwa uhakika zaidi tusubiri vyombo vya habari. Hivi wabongo tuko nyuma kiaje? Challenge yya mwaka jana mpaka video recorded tulikuwa tunaziona kwenye utube, yaani waandishi wetu wamepigwa bao na wa babamoi? Mbona mabao kila angle tunapigwa sie? Kaazi kwelikweli.