Kutokana na vilabu kusheheni wachezaji wa kigeni, nashauri motisha ya rais itolewe kwa timu zetu za taifa zikiwemo ile ya mabinti iliyofanya vizuri sana kwenye mashindano ya soka la kimataifa na wanamichezo wanaoenda kuwakilisha nchi kwenye mashindano ya olympiki ili wajitahidi kupata medali.
Motisha kwenye vilabu binafsi waachiwe wafadhili wa hizo timu.
Ni hayo tu kwa leo.
Motisha kwenye vilabu binafsi waachiwe wafadhili wa hizo timu.
Ni hayo tu kwa leo.