Dotto C. Rangimoto
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,985
- 1,282
...Dr amuagize Naibu katibu mkuu ajibu hiyo barua.
ha ha ha ha ha ha,,,kali hiyoooo
...Dr amuagize Naibu katibu mkuu ajibu hiyo barua.
...Dr amuagize Naibu katibu mkuu ajibu hiyo barua.
DK slaa ajibu khs hao aliowatuma kumchafua ZZK
Itavuja kivipi wakati maudhui yake tayari muandikaji (Zitto) ameshayaweka hadharani?Slaa hachelewi kuivujisha barua!!!
chadema ni genge la wahuni
Wacha kuogopa mabadiliko mkuu, ndo yanavyokuwa tena afadhali umezaliwa kwenye nchi ya wastaarab. Uko kwengine ni balaaChadema bora ife tumechoka story zenu na Zitto wenu.....
Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kimekiri kupokea barua ya naibu katibu mkuu, Zitto zuber kabwe, Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari msemaji wa Chadema Tumaini makene amekiri hayo.
Chadema bora ife tumechoka story zenu na Zitto wenu.....