Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kimekiri kupokea barua ya naibu katibu mkuu, Zitto zuber kabwe, Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari msemaji wa Chadema Tumaini makene amekiri hayo.
Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kimekiri kupokea barua ya naibu katibu mkuu, Zitto zuber kabwe, Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari msemaji wa Chadema Tumaini makene amekiri hayo.
Kwa hiyo unataka Watanzania tufanyeje?
Kwa hiyo unataka Watanzania tufanyeje?
Lengo la Zitto ni kuwaburuza mahakamani wote wanaochafua mitandaoni
aka Wapika majungu !
...Dr amuagize Naibu katibu mkuu ajibu hiyo barua.DK slaa ajibu khs hao aliowatuma kumchafua ZZK
Barua ya nini? Kujivua gamba?
IQ yako ndogo ndio maana hujui ufanye nini
Slaa hachelewi kuivujisha barua!!!
Pengine habari hapa ni Naibu Katibu Mkuu kuandika barua kwa Chama chake mwenyewe. Hivi Naibu KM si sehemu ya hicho Chama? Na pia baada ya kuandika unawatangazia watu. Sijui jibu gani linatarajiwa au ni kutaka kuonyesha kuwa yeye si sehemu yao!
kwani kuna tatizo gani?yani hujui kama zitto ana watu wako juu yake kwenye chama?ulitaka anyamaze?Pengine habari hapa ni Naibu Katibu Mkuu kuandika barua kwa Chama chake mwenyewe. Hivi Naibu KM si sehemu ya hicho Chama? Na pia baada ya kuandika unawatangazia watu. Sijui jibu gani linatarajiwa au ni kutaka kuonyesha kuwa yeye si sehemu yao!
Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) kimekiri kupokea barua ya naibu katibu mkuu, Zitto zuber kabwe, Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari msemaji wa Chadema Tumaini makene amekiri hayo.