king'amuzi
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 614
- 225
Napenda sana Lugha ya vitendo ya Chadema na wapinzani wengine waliyo unga mkono leo.Wananchi tumewaona.
cdm bana, wamekuja wakasaini form za posho then wanatoka na tayari mshiko umeingia
ratiba waliijua kwa nini wasingebaki nyumbani.
Tumbo kwanza mengine baadae
Ilikuwa Karibu Nikuelewe ila Ulipoweka Mambo ya Genda!! Uawanawake!! Nikakupuuza Kabisa Kwani Mfumo Dume Umekukaa sana!! Unajiona superiour!! Uwanaume!! Akija simba mbona unaweza Kuwa wa Kwanza Kukimbia hadi Kijiharishia!!
Hata mie nilihisi hivyo huyo ni kigeugeu Mrema anaweza kufanya lolote wakati wowote kwa maslahi ya tumbo lake....anaenda kusikiliza wapinzani wanapanga nini ili amwage umbea kwa waliomtuma.
Mrema katoka siamini! labda alikuwa kalala anamwaga maudenda kushtuka anakuta watu wanatoka akafikiri bunge limeahirishwa. Mrema sio mpinzani anaganga njaa.
Hapana, wanahitimisha mjadala wa CHEMA na sio mswadaleo si ndo wanahitimisha mswada
Yes ni kwamba alikuwa amepitiwa na usingizi alipoona makelele ya viti watu wakitoka nje alidhani bunge limeahirishwa naye akaanza kutoka nje.na mrema katoka?
Unywe sumu ufe tu kwani huna mchango wowote dunianiCDM bana, wamekuja wakasaini form za posho then wanatoka na tayari mshiko umeingia
ratiba waliijua kwa nini wasingebaki nyumbani.
Tumbo kwanza mengine baadae
CUF bwana na magamba mpo sawa!Kususa ni imani dhaifu sana kwa mwanadamu hususan kama rijal na mpambanaji wa kupigania haki za wanaodhurumiwa.
Mtu makini siku zote anaingia katikati ya mapambano na kupambana kuhakikisha anashinda au kama atashindwa atakuwa ameweka athari au kumbukumbu kwa tukio lile. Kutoka nje ni tarbia ya uanamke/uoga kitu ambacho sio sahihi kwa mpigania haki.
Kwani kwa kutoka kwao Chadema huko Bungeni Tz kunasaidia nini au kuna athari gani kwa Bunge lenu. Sheria itapita hata kama wao hawapo. Je watakuwa wamewatendea haki watanzania waliowachagua? kama waliweza kuwakilisha Hotba yao ya maoni ya kambi ya upinzani ya muswada huu kwanini wasibakie na kutetea hotba na fikra zao kuliko kuamua kutoka nje ya bunge.
Huo ni utoto sana na kuona kuwa wao wapo sahihi sana kuliko wenzao. Ni uvivu wa kufikiri na kukataa mawazo mgongano au kukinzana kwa mawazo. Huko ni kufilisika kwa akili kwa wabunge wa Chadema.
Nawapa pole sana.
Wewe kweli mgonjwa, unatuona watanzania wote wagonjwa kama wewe, kwa taarifa yako chati ya wabunge wa CHADEMA imepanda ile mbaya. Waulize wabunge wa CCM wanaohangaika na mitusi bungeni badala ya kuujadili mswaada wana pelekewa SMS ngapi za kuonywa na wapigakura wao!Cdm kususia bunge 2 mnakuwa hampo sahihi kabisa kwan mnatoka nje mnawaacha magamba wanajisifu na kuwapaka matope na kuwaharibia kwa wananchi na hasa wengi hawajui nini mkifanyacho na lengo lenu hasa.
Na mbaya zaidi idadi kubwa sana ya wananch hawajui ni nin na umuhim wa kile kinachojadiliwa bungen.
Na mwisho hata wale wanaofaham umuhim wa kile mnachokigomea bado mnawaacha njiapanda kwa kuto waonyesha na kuwaelekeza njia mbadala kwani mnatoka nje nyuma mswaada unajadiliwa na mwisho utapitishwa je kutoka kwenu nje mtakuwa mmewasaidia vip wale wananchi waliokuwa upande wenu kuupinga mswada huo??.
Sidhani kama unaelewa maana ya WALK OUT.CDM bana, wamekuja wakasaini form za posho then wanatoka na tayari mshiko umeingia
ratiba waliijua kwa nini wasingebaki nyumbani.
Tumbo kwanza mengine baadae
Huu ni upuuzi mtupu
======
Leo CHADEMA wametoka nje ya ukumbi wa Bunge baada ya mjadala Muswada wa Katiba Mpya kuanza kujadiliwa.
Mrema ni p***mbi!amechoka kiakili!c ilishasemekana alikw na saratani cjui ya ubongo na ngozi hadi akaenda kunywa kikombe?sasa kwa misingi hiyo tutegeme nini zaidi ya anayofanya!