CHADEMA watoka tena bungeni, Mrema naye atoka!

Da Mrema nadhani atakuwa alikuwa anaenda kujisaidia,inawezekana aliingia bungeni bila kupitia toilet sasa alivyoona wabunge wa chadema wanatoka akaamua naye aunganishe.nasema hivyo sababu najua mrema si mpinzani siku hizi
 
Serikari legelege na dhaifu isiyokuwa na mbele wala nyuma ya CCM inabaka uhai wa Mtanzania katiba,kwa pamoja tupinge kabisa huu wizi wa waziwazi,wa kuteseka ni sisi watanzania.
 
Kwani yeye ni Ntoto N'dogo asiyaone ya Madiwani wa Arusha! Chadema ni namba nyingine Sheikh wangu!
 
CDM bana, wamekuja wakasaini form za posho then wanatoka na tayari mshiko umeingia
ratiba waliijua kwa nini wasingebaki nyumbani.
Tumbo kwanza mengine baadae
Acha ujinga kama akina kilango wao wamegomea kushiriki kujadili uharo huo wa ccmlakini asubuhi huanzwa kwakipindi cha maswali na majibu ebu jaribu kuwa mwelewa acha ushamba
 
Ewe Mwenyezimungu wafanye hawa TANEGIZA jioni watupe umeme nimwone Mzee wa Kiraracha akitoka nje ya bunge kuungana na CDM kwani ss tulio makazini TV zimombali nasi hatukuweza kushudia tukio hili la kufunga mwaka. Amen
 
kaona wote yote yaliyojadiliwa jana ni kama mambo ya 'jikoni' tu akae asikilize ni cha zaidi. kwa bungeli, uwe ndani au nje ni kama tayari unajua kitakachoandikwa
 
kuna taariafa nazipata hapa kuwa mda wa kujadili huo mswaada umeongezwa.....ni kweli?
 
Kususa ni imani dhaifu sana kwa mwanadamu hususan kama rijal na mpambanaji wa kupigania haki za wanaodhurumiwa.

Mtu makini siku zote anaingia katikati ya mapambano na kupambana kuhakikisha anashinda au kama atashindwa atakuwa ameweka athari au kumbukumbu kwa tukio lile. Kutoka nje ni tarbia ya uanamke/uoga kitu ambacho sio sahihi kwa mpigania haki.

Kwani kwa kutoka kwao Chadema huko Bungeni Tz kunasaidia nini au kuna athari gani kwa Bunge lenu. Sheria itapita hata kama wao hawapo. Je watakuwa wamewatendea haki watanzania waliowachagua? kama waliweza kuwakilisha Hotba yao ya maoni ya kambi ya upinzani ya muswada huu kwanini wasibakie na kutetea hotba na fikra zao kuliko kuamua kutoka nje ya bunge.

Huo ni utoto sana na kuona kuwa wao wapo sahihi sana kuliko wenzao. Ni uvivu wa kufikiri na kukataa mawazo mgongano au kukinzana kwa mawazo. Huko ni kufilisika kwa akili kwa wabunge wa Chadema.

Nawapa pole sana.

Jambo linalotia faraja ni kwamba ukipita karibu maeneo yote, kati ya watu 10 ukiongea nao, 7 wapo against wabunge wa CCM kwa namna walivyouchukulia mjadala wa taratibu za kufuata mpaka kufikia katiba mpya. Kinachofurahisha zaidi, hata hao 3 wanaowaunga mkono wabunge wa CCM, au ni wale ambao maisha yao ni ya kutegemea fadhila za CCM na serikali au ni wale walionyimwa haki ya kuwa na upeo. Karibu watu wote wenye akili na upeo, wapo against government strategies to get to the new constitution. Kweli serikali na CCM wanashinda katika hili kwa kutegemea tu wanafiki na wale wasio na upeo? Tusubiri, na tutaona.
 
Kususa ni imani dhaifu sana kwa mwanadamu hususan kama rijal na mpambanaji wa kupigania haki za wanaodhurumiwa.

Mtu makini siku zote anaingia katikati ya mapambano na kupambana kuhakikisha anashinda au kama atashindwa atakuwa ameweka athari au kumbukumbu kwa tukio lile. Kutoka nje ni tarbia ya uanamke/uoga kitu ambacho sio sahihi kwa mpigania haki.

Kwani kwa kutoka kwao Chadema huko Bungeni Tz kunasaidia nini au kuna athari gani kwa Bunge lenu. Sheria itapita hata kama wao hawapo. Je watakuwa wamewatendea haki watanzania waliowachagua? kama waliweza kuwakilisha Hotba yao ya maoni ya kambi ya upinzani ya muswada huu kwanini wasibakie na kutetea hotba na fikra zao kuliko kuamua kutoka nje ya bunge.

Huo ni utoto sana na kuona kuwa wao wapo sahihi sana kuliko wenzao. Ni uvivu wa kufikiri na kukataa mawazo mgongano au kukinzana kwa mawazo. Huko ni kufilisika kwa akili kwa wabunge wa Chadema.

Nawapa pole sana.
Ni afadhali ungeishia kusema woga, kuliko kuwafanya mama zetu, dada zetu, wake zetu, mabinti zetu dhalili
 
Nashukru kwa shule, sasa naondoa neno langu "watukufu" na badala yake naweka Makini

Usiondoe kwani 'nasikiaga' wabunge wakiwa wanachangia hoja wana sema "..Mh. Spika, naomba waziri alithibitishie 'Bunge lako TUKUFU...!" Ina maana hata waliomo ni "watukufu" tofautisha na "watakatifu". Hivyo kusema utukufu ni kitu/mtu aliye tukuka aka "Kiheshimika au Mheshimiwa sana"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom