Kibona
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 1,023
- 652
Ningeshangaa sana kama njiwa anaweza kuwa na akili ya kutambua mchango wa chadema.
hapo washa sign kitabu cha mahudhurio... kwa posho wanachukuwa kama kawa ... they have nothing to loose zaidi ya kupata cheap popularity + posho huku wakishinda nje ya bunge na viburudisho vyao...
CDM bana... sio watu wote wavivu wa kufikiri kama pro cdm wa humu Jf na kuanza kushabikia huu upuzi wanaofanya posho wachukue nje ya bunge watoke alafu wanadai wanamapinduzi ... what a joke !!!!