leo ni siku ya mwisho kutoka vumilia
upuuzi kiaje mkuu! fafanua please!Huu ni upuuzi mtupu
Huu ni upuuzi mtupu
Huu ni upuuzi mtupu
Hueleweki unasema wametoka mara upuuzi mtupu..kuwa wazi wametoka lini na upuuzi hapo ni kutoka ama ni kutotoka!!!
Mrema katoka siamini! labda alikuwa kalala anamwaga maudenda kushtuka anakuta watu wanatoka akafikiri bunge limeahirishwa. Mrema sio mpinzani anaganga njaa.Wabunge wa upinzani wameamua kulisusia Bunge la CCM, Mrema awa wa mwisho kutoka.....Ni lini CCM itakubali kushindwa kuongoza nchi hii??
mpaka watakapomaliza rasili mali za nchi hii.Wabunge wa upinzani wameamua kulisusia Bunge la CCM, Mrema awa wa mwisho kutoka.....Ni lini CCM itakubali kushindwa kuongoza nchi hii??
Huu ni upuuzi mtupu
======
Leo CHADEMA wametoka nje ya ukumbi wa Bunge baada ya mjadala Muswada wa Katiba Mpya kuanza kujadiliwa.