CHADEMA watoka tena bungeni, Mrema naye atoka!

Wind of change is blowing towards Tanzania.Watanzania wa leo sio wale wa mwaka 1947 hawabuluziki tena.
 
This is the time of changes..no one will change this...now way to avoid this..We will and together we can
 
Huu ni upuuzi mtupu

======
Leo CHADEMA wametoka nje ya ukumbi wa Bunge baada ya mjadala Muswada wa Katiba Mpya kuanza kujadiliwa.
 
Upuuzi kivp?ukitoa thread yako jaribu kudadavua unachotaka kusema na kukilink na mada yako hapo juu, mtoa mada hajafunguka sasa sijui tumsaidieje!
 
Wabunge wa upinzani wameamua kulisusia Bunge la CCM, Mrema awa wa mwisho kutoka.....Ni lini CCM itakubali kushindwa kuongoza nchi hii??
 
Huu ni upuuzi mtupu

======
Leo CHADEMA wametoka nje ya ukumbi wa Bunge baada ya mjadala Muswada wa Katiba Mpya kuanza kujadiliwa.

Wewe ndo mpuuzi unayeogopa! Ndo maana hata huwezi kuthubutu kugombea uongozi wowote kupitia upinzani; mtu mwenye akili timamu hawezi kuosha nguruwe pasipo kusafisha banda la nguruwe!

Tunachokitaka ni bunge kutenda usawa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom