CHADEMA watoka tena bungeni, Mrema naye atoka!

nadhani werwe ni kuadi wa magamba. Ulitaka na asubuhi kwenye maswali na majibu wasishiriki? wametoka kwenye epsode moja, itakayohusu taifa watarejea, lakini huo mswaada wa katiba unawahusu CCM, CUF, TLP, UDP tu ambao wote ni makuadi wa CC mjengoni na nje ya mjengo

Du hapo kwenye nyekundu umenikumbusha mbali sana kuna mwalimu wetu mmoja alikuwa anapenda sana kutumia hilo neno sana.
 
Mrema atakuwa katoka for a short call sio kususia mjadala wa muswada wa katiba mpya.
 
Hivyo ni vitu viwili tofauti sana. Fikiri vizuri kukichwani mwako
CDM bana, wamekuja wakasaini form za posho then wanatoka na tayari mshiko umeingia
ratiba waliijua kwa nini wasingebaki nyumbani.
Tumbo kwanza mengine baadae
 
CDM bana, wamekuja wakasaini form za posho then wanatoka na tayari mshiko umeingia
ratiba waliijua kwa nini wasingebaki nyumbani.

Si kweli mbunge wa CMD ameomba mwongozo kwa m/kiti, lakini akapuzwa tena. Hili, limewasononesha wapinzani !!!! Ndipo wakatoka
 
Inawezekana kuwa walikuja kusaini posho lakini kwa mawazo yangu,sio hvyo bali walikuja kwanza kushiriki bunge la maswali na majibu ili nao pia waweze kuuliza maswali ya matatizo katika maeneo yao husika.

Lakinia pia lazima kuja kusaini daftari la mahudhurio ili bunge kwanza kuheshimu na kutambua uwepo wao kwa siku hiyo.Hilo ni jambo la kimsiamo katika swala zima la kudai haki ya kikatiba,acha watoke ili kuendelea kuheshimu kile wanachokiamini.
 
Mrema katoka siamini! labda alikuwa kalala anamwaga maudenda kushtuka anakuta watu wanatoka akafikiri bunge limeahirishwa. Mrema sio mpinzani anaganga njaa.

Hahahaahahha......... Hiyo kweli inawezekana. jamaa kachoka kweli.
 
Cdm kususia bunge 2 mnakuwa hampo sahihi kabisa kwan mnatoka nje mnawaacha magamba wanajisifu na kuwapaka matope na kuwaharibia kwa wananchi na hasa wengi hawajui nini mkifanyacho na lengo lenu hasa.
Na mbaya zaidi idadi kubwa sana ya wananch hawajui ni nin na umuhim wa kile kinachojadiliwa bungen.
Na mwisho hata wale wanaofaham umuhim wa kile mnachokigomea bado mnawaacha njiapanda kwa kuto waonyesha na kuwaelekeza njia mbadala kwani mnatoka nje nyuma mswaada unajadiliwa na mwisho utapitishwa je kutoka kwenu nje mtakuwa mmewasaidia vip wale wananchi waliokuwa upande wenu kuupinga mswada huo??.
 
Hapa mi naona waitishe maandamano na kulala nje
mwaka mzima mpaka magamba wachoke wenyewe...
 
Wabunge wa upinzani wameamua kulisusia Bunge la CCM, Mrema awa wa mwisho kutoka.....Ni lini CCM itakubali kushindwa kuongoza nchi hii??

Kususa ni imani dhaifu sana kwa mwanadamu hususan kama rijal na mpambanaji wa kupigania haki za wanaodhurumiwa.

Mtu makini siku zote anaingia katikati ya mapambano na kupambana kuhakikisha anashinda au kama atashindwa atakuwa ameweka athari au kumbukumbu kwa tukio lile. Kutoka nje ni tarbia ya uanamke/uoga kitu ambacho sio sahihi kwa mpigania haki.

Kwani kwa kutoka kwao Chadema huko Bungeni Tz kunasaidia nini au kuna athari gani kwa Bunge lenu. Sheria itapita hata kama wao hawapo. Je watakuwa wamewatendea haki watanzania waliowachagua? kama waliweza kuwakilisha Hotba yao ya maoni ya kambi ya upinzani ya muswada huu kwanini wasibakie na kutetea hotba na fikra zao kuliko kuamua kutoka nje ya bunge.

Huo ni utoto sana na kuona kuwa wao wapo sahihi sana kuliko wenzao. Ni uvivu wa kufikiri na kukataa mawazo mgongano au kukinzana kwa mawazo. Huko ni kufilisika kwa akili kwa wabunge wa Chadema.

Nawapa pole sana.
 
Kususa ni imani dhaifu sana kwa mwanadamu hususan kama rijal na mpambanaji wa kupigania haki za wanaodhurumiwa.

Mtu makini siku zote anaingia katikati ya mapambano na kupambana kuhakikisha anashinda au kama atashindwa atakuwa ameweka athari au kumbukumbu kwa tukio lile. Kutoka nje ni tarbia ya uanamke/uoga kitu ambacho sio sahihi kwa mpigania haki.

Kwani kwa kutoka kwao Chadema huko Bungeni Tz kunasaidia nini au kuna athari gani kwa Bunge lenu. Sheria itapita hata kama wao hawapo. Je watakuwa wamewatendea haki watanzania waliowachagua? kama waliweza kuwakilisha Hotba yao ya maoni ya kambi ya upinzani ya muswada huu kwanini wasibakie na kutetea hotba na fikra zao kuliko kuamua kutoka nje ya bunge.

Huo ni utoto sana na kuona kuwa wao wapo sahihi sana kuliko wenzao. Ni uvivu wa kufikiri na kukataa mawazo mgongano au kukinzana kwa mawazo. Huko ni kufilisika kwa akili kwa wabunge wa Chadema.

Nawapa pole sana.

Ilikuwa Karibu Nikuelewe ila Ulipoweka Mambo ya Genda!! Uawanawake!! Nikakupuuza Kabisa Kwani Mfumo Dume Umekukaa sana!! Unajiona superiour!! Uwanaume!! Akija simba mbona unaweza Kuwa wa Kwanza Kukimbia hadi Kijiharishia!!
 
Cdm kususia bunge 2 mnakuwa hampo sahihi kabisa kwan mnatoka nje mnawaacha magamba wanajisifu na kuwapaka matope na kuwaharibia kwa wananchi na hasa wengi hawajui nini mkifanyacho na lengo lenu hasa.
Na mbaya zaidi idadi kubwa sana ya wananch hawajui ni nin na umuhim wa kile kinachojadiliwa bungen.
Na mwisho hata wale wanaofaham umuhim wa kile mnachokigomea bado mnawaacha njiapanda kwa kuto waonyesha na kuwaelekeza njia mbadala kwani mnatoka nje nyuma mswaada unajadiliwa na mwisho utapitishwa je kutoka kwenu nje mtakuwa mmewasaidia vip wale wananchi waliokuwa upande wenu kuupinga mswada huo??.
haki ya nani We mfupi!
 
Cdm kususia bunge 2 mnakuwa hampo sahihi kabisa kwan mnatoka nje mnawaacha magamba wanajisifu na kuwapaka matope na kuwaharibia kwa wananchi na hasa wengi hawajui nini mkifanyacho na lengo lenu hasa.
Na mbaya zaidi idadi kubwa sana ya wananch hawajui ni nin na umuhim wa kile kinachojadiliwa bungen.
Na mwisho hata wale wanaofaham umuhim wa kile mnachokigomea bado mnawaacha njiapanda kwa kuto waonyesha na kuwaelekeza njia mbadala kwani mnatoka nje nyuma mswaada unajadiliwa na mwisho utapitishwa je kutoka kwenu nje mtakuwa mmewasaidia vip wale wananchi waliokuwa upande wenu kuupinga mswada huo??.


Tuwatendee haki Wabunge wa CHADEMA! Hivi wabaki Bungeni ili iweje? Kama Spika anakataa kuwasikiliza kila wanapoomba mwongozo au kutaka kutoa taarifa, wewe unafanyaje? Mimi nawaunga mkono kwa kutosikiliza mijadala ya kipuuzi inayoendelea kuhusu mchakato wa sheria hii! Nadhani CCM imefikia ukomo wa kufikiri na hata Spika anacheza ngoma hiyohiyo. Kama angekuwa fair, basi angetolea uamuzi miongozo yote inayoombwa. Jaribuni siku mmoja muangalie mijadala ya Mabunge mengine, Spika hata siku moja hawezi kuonyesha uendeleo wa dhahiri kama huu wa Makinda. Nina heshima sana kwa wanawake, but sometimes huwa nadoubt fikira zao kama hutoka kichwani au sehemu nyingine!
 
mabadiliko ya KWELI kwa serikali nyingi za kiafrica hayaji kwa kuombwa INALAZIMU kushinikiza,ccm haiko tayari kushuhudia uwepo wa katiba mpya maana itakuwa mwisho wa utawala wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom