CHADEMA waingia mtegoni kirahisi, itawagharimu

Wanabodi,

Kama mlivyoona reaction ya viongozi wengi wa CHADEMA kutokana na mkutano wa viongozi wa dini pale ikulu na mkuu wa nchi. Zimetumika lugha za ajabu kidogo kubeza viongozi wale kwasababu tu hawakusema waliyotaka wasikie.

Naomba nitoe tahadhari kwa CHADEMA na hasa baraza la wazee. Mnatakiwa mrudishe nidhamu ya matamko yanayoweza kukichafua chama. Acheni mashabiki na wanamtandao waseme wanayotaka lakini viongozi wa chama lazima kuwe na utaratibu wa kutoa maoni ambao utakuwa msimamo rasmi wa chama bila kwenda kinyume na sera, itakadi na katiba yake.

Mchango wa viongozi wa dini kwa upinzani na hasa CHADEMA ni mkubwa mno. Msikubali mihemuko ya baadhi ya viongozi kuwafarakanisha. Tukio kama lile la ikulu si la viongozi kukurupuka na matusi huko twita bila kwanza kukutana na kujadili na kupata azimio la pamoja ambalo lina hekima na misingi ya kuheshimu mawazo ya wengine kama CHADEMA inavyopenda kuhubiri.

CHADEMA hakuna tena nidhamu kama zamani ambapo tulipata misimamo ya chama kwa utaratibu kupitia Tumaini Makene, Katibu mkuu na viongozi wengine lakini kwa utaratibu.

Naona viongozi wa CHADEMA wasio wakristo wamekuwa na hekima kwa kukaa kimya kuheshimu viongozi wao wa imani na kuwaacha wenzao wa kikristo wakiwakosea adabu viongozi wao.

Baraza la wazee CHADEMA jadilini mrudishe nidhamu kabla hawa vijana wenye mihemuko hawajafarakanisha chama na kila taasisi.

Sasa kupitia uzi huu ndio mtajua kati ya JPM na CHADEMA nani asiyependa kukosolewa. #uhuruwamawazo #practicewhatyoupreach

Sent using Jamii Forums mobile app
Rubbish!
 
[Sina uhakika kama kuna tamko rasmi LA chama dhidi ya mkutano wa Jpm na viongozi wa dini. Nilichokiona mm ni reaction ya wachsngiaji. Ambacho kwa kweli ni kitu chema kwa viongozi wa wanaopenda kujitathmini.="Per Diem, post: 30144195, member: 482519"]Naona wote mmeingia mtego mmoja! Hivyo ni kama hakuna mbadala wa ccm

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
 
Un
Wanabodi,

Kama mlivyoona reaction ya viongozi wengi wa CHADEMA kutokana na mkutano wa viongozi wa dini pale ikulu na mkuu wa nchi. Zimetumika lugha za ajabu kidogo kubeza viongozi wale kwasababu tu hawakusema waliyotaka wasikie.

Naomba nitoe tahadhari kwa CHADEMA na hasa baraza la wazee. Mnatakiwa mrudishe nidhamu ya matamko yanayoweza kukichafua chama. Acheni mashabiki na wanamtandao waseme wanayotaka lakini viongozi wa chama lazima kuwe na utaratibu wa kutoa maoni ambao utakuwa msimamo rasmi wa chama bila kwenda kinyume na sera, itakadi na katiba yake.

Mchango wa viongozi wa dini kwa upinzani na hasa CHADEMA ni mkubwa mno. Msikubali mihemuko ya baadhi ya viongozi kuwafarakanisha. Tukio kama lile la ikulu si la viongozi kukurupuka na matusi huko twita bila kwanza kukutana na kujadili na kupata azimio la pamoja ambalo lina hekima na misingi ya kuheshimu mawazo ya wengine kama CHADEMA inavyopenda kuhubiri.

CHADEMA hakuna tena nidhamu kama zamani ambapo tulipata misimamo ya chama kwa utaratibu kupitia Tumaini Makene, Katibu mkuu na viongozi wengine lakini kwa utaratibu.

Naona viongozi wa CHADEMA wasio wakristo wamekuwa na hekima kwa kukaa kimya kuheshimu viongozi wao wa imani na kuwaacha wenzao wa kikristo wakiwakosea adabu viongozi wao.

Baraza la wazee CHADEMA jadilini mrudishe nidhamu kabla hawa vijana wenye mihemuko hawajafarakanisha chama na kila taasisi.

Sasa kupitia uzi huu ndio mtajua kati ya JPM na CHADEMA nani asiyependa kukosolewa. #uhuruwamawazo #practicewhatyoupreach

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipi cha uongo kikichosemwa?
 
Lakini kuna wakati mnajipa moyo 2020 mtashinda kiti cha Urais
Hivi kweli mwanadamu kama angeweza kujipa moyo nani angekufa? Sijawahi kufikiria kiti cha uraisi kinaweza kupatikana mshindi toka upinzani kama tume haijaamua wabunge ni ndondo tu kama kubahatisha ila uraisi ngumu sana si kwamba chama dora ccm kinafanya vizur na kukubalika hapana ni matakwa ya mkurugenz wa tume.
 
Ulipotoka Waraka wa KKKT na TEC vijana wa CCM mliwatukana viongozi wa dini matusi ya nguoni leo mnajifanya eti wema kwao kama sio unafiki ni nini.

Subirini waraka wa pasaka utoke akili ndipo zitakapowarudi.
Waraka ulikuwa full of tribal sentiments! Zilipokataliwa na Malasusa, eti akatengwa! Si ulimuona hata yule mchungaji aliyeomba demokrasia? Kanisa lenyewe halina hata demokrasia!
 
Hivi kweli mwanadamu kama angeweza kujipa moyo nani angekufa? Sijawahi kufikiria kiti cha uraisi kinaweza kupatikana mshindi toka upinzani kama tume haijaamua wabunge ni ndondo tu kama kubahatisha ila uraisi ngumu sana si kwamba chama dora ccm kinafanya vizur na kukubalika hapana ni matakwa ya mkurugenz wa tume.
Mshangao wangu ni pale wapinzani wataenda kushiriki uchaguzi huo kwa mazingira yale yale ya 2015. maana tayari watu humu wanaamini Lissu atashinda 2020
 
Mshangao wangu ni pale wapinzani wataenda kushiriki uchaguzi huo kwa mazingira yale yale ya 2015. maana tayari watu humu wanaamini Lissu atashinda 2020
Ngumu sana tena sana magufuli atawaangusha vibaya sana maana vyombo vyote anavyo yeye kwanza nilishaacha kupiga kura hapa tukiongelea uhalisia wa jinsi mambo yanavyoendeshwa na tume ya uchaguz hasa ngazi ya uraisi.
 
Ngumu sana tena sana magufuli atawaangusha vibaya sana maana vyombo vyote anavyo yeye kwanza nilishaacha kupiga kura hapa tukiongelea uhalisia wa jinsi mambo yanavyoendeshwa na tume ya uchaguz hasa ngazi ya uraisi.
Mshangao mwingine ni pale mwanasheria anayeaminika kuwa nguli anataka kugombea Urais kwa mazingira yale yale. nilidhani angekomaa kupata tume huru, kumbe naye anataka kutengeneza CV kama kina Mzee Lowassa n.k
 
Mshangao mwingine ni pale mwanasheria anayeaminika kuwa nguli anataka kugombea Urais kwa mazingira yale yale. nilidhani angekomaa kupata tume huru, kumbe naye anataka kutengeneza CV kama kina Mzee Lowassa n.k
Binafsi nilishangaa hapa wana ujasir gani wa kumtoa magufuli kwa tume na muundo ulivyo wa upigaji kura?
 
Binafsi nilishangaa hapa wana ujasir gani wa kumtoa magufuli kwa tume na muundo ulivyo wa upigaji kura?

Kuunga mkono upinzani huu ni kama kujitoa ufahamu, hawajui wafanye nini kwa wakati gani. hili la tume huru ni ukweli mchungu ambao kuanzia mwenyekiti wao mpaka na washabiki wao hawataki kuusikia.

Hivi unapelekaje timu mahali ambapo Uwanja ni wa simba, mpira wa simba, marefa na makamisaa wote wa Simba, hivi unapataje ushindi kwa mazingara kama hayo.

Lakini kwa mwelekeo huu, jamaa bado wanataka kupeleka timu 2020
 
Kuunga mkono upinzani huu ni kama kujitoa ufahamu, hawajui wafanye nini kwa wakati gani. hili la tume huru ni ukweli mchungu ambao kuanzia mwenyekiti wao mpaka na washabiki wao hawataki kuusikia.

Hivi unapelekaje timu mahali ambapo Uwanja ni wa simba, mpira wa simba, marefa na makamisaa wote wa Simba, hivi unapataje ushindi kwa mazingara kama hayo.

Lakini kwa mwelekeo huu, jamaa bado wanataka kupeleka timu 2020
Kweli kabisa hapa ingepiganiwa tume huru ya uchaguzi kwanza maana bila hivyo ni kichapo kikali toka kwa magufuli na ccm katiba kwanza ingepiganiwa.
 
Hivi Tumaini Makene ana kazi gani huko siku hizi? Maana kila mtu ni msemaji siku hizi. Kila mtu ana sharubu huko nafikiri mtu kama Mzee Lowasa anawashangaa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Lowassa ni nani ndugu mpaka awashangae cdm? Au unadhani ni Mungu? Mshauri arudi ccm ili asiharibu heshima yake. Kama unazungumzia viongozi wa cdm na hao wa dini usitutajie Lowassa maana kaikuta cdm.
 
Same kwako ulikua umezamisha kichwa kwenye t**o lake alipoisema serikali leo unamkana. Kweli ninyi wafia vyama mna matatizo mnatakiwa kwenda kupimwa kama muwazima kweli ama la

Leo anaiteteaa serekali sio mbaya amekuachia na ww nafasi uzamishe kichwa chako kwenye hilo t**o lake ili na ww upate raha aliyokuwa anapata.
 
faida na furaha yangu ni kuona chadema kinafutika kwenye uso wa siasa za Tanzania kwa sababu wababaishaji wengi,that's it.

Nimewahi kusema, ili ccm iendelee kutawala wajinga inabidi wafanye ukatili wa hali ya juu ili kuiua cdm, kwa sababu wakitumia njia za kisiasa ni ngumu kuimaliza cdm kutokana na mvuto ilionao, hasa ukizingatia ccm imeshazeeka na haina mvuto kwa kizazi kipya. Bila matumizi ya cheo cha rais kwa kutumia kutumia madaraka yake vibaya kuagiza vyombo vya dola kuibeba, ccm itakuwa mortuary Kama ilivyo KANU.
 
bad news for upinzani... keep on fantasizing, mwana falsafa nguli alisha wahi kusema kwamba:-
uchizi ni kurudia kufanya jambo mara kwa mara huku ukitegemea matokeo tofauti...
digest that statement katika siasa and you will know your position in 2035's presidential election...
 
Back
Top Bottom