Ushuzi mtupu gazeti la magamba nani alisome?
Hii habari imekaa kishabiki sana, hata muandishi hakutulia kabisa
Kwa hiyo nchi ibaki kwa "wanaoongoza" kwa bastola? Nyie subirini mziki wenu 2015, mtajua nani atakae kabidhiwa nchi, hata kama ni kwa mtindo wa Ivory Coast! Nyie kura hampati hata kwa dawa.
hii ni trela bado filim!! hakuna cha CDM wala CCM wote hawa ni mafisadi safari yetu ya ukombozi bado ni ndefu!!!