Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Kutokana na mjadala mrefu uliokuwepo kutokana na Taarifa ya "Kamati ya Wazee", Kamati Kuu, kwa kuzingatia mwenendo wako ambao kwa dhahiri unakiuka Kanuni za Maadili ya Viongozi wa Taifa, Kifungu cha 10(1)(viii), (ix),(x),(xi) na (xii).
Hii ni sehemu ya taarifa inayotegemea kutolewa leo kwa waandishi wa habari.
Hii ni sehemu ya taarifa inayotegemea kutolewa leo kwa waandishi wa habari.