Jana Kulikuwa Na Thread Yenye Kichwa Cha Habari Hicho Naona Ilifutwa. Sasa Labda Ni Mods Wamearishwa Na Mbowe Au Vipi?
Mimi Nakubaliana Na Chinga Kuwa Bwana Mbowe Ana Mkakati Wa Kumtoa Nje Ya Chadema Kiongozi Mahiri Chacha Wangwe.
Bwana Wangwe Amepania Kuuondoa Uchagga Na Ufalme Ndani Ya Chadema.
Naomba Mjadala Uendelee.
Mimi Nakubaliana Na Chinga Kuwa Bwana Mbowe Ana Mkakati Wa Kumtoa Nje Ya Chadema Kiongozi Mahiri Chacha Wangwe.
Bwana Wangwe Amepania Kuuondoa Uchagga Na Ufalme Ndani Ya Chadema.
Naomba Mjadala Uendelee.