kichwamaji
JF-Expert Member
- Dec 1, 2006
- 232
- 12
Haya sasa si unaona mkorogo huo wewe dogo Mnyika.. Shamsha Mwangunga kwao Kongwa Dodoma mnampa U-kilimanjaro mnachukua marehemu (Mbathia) mnatia kwenye hesabu... mnachukua hata walio jiuzuru ( Migiro ) ili kulazimisha hoja.
Endeleeni tu na M/kiti wenu kilaza....
Unamwonaje nabii wenu JK? Ningekuwa wewe ningenyamaza yaishe kimya kimya! Masatu unaonyesha chuki, huna hoja!