Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
hivi kuna sokoni1 na osokoni..osokoni umeonyesha uvivu wa kufatilia mambo lisha ya kuonyesha kama ulifatilia jambo hili na kujidai kupangilia kwa umakini lakini nashukru watu wamekushitukia mapema..kwanza idadi uliyoitoa ya madiwani siyo sawa,sababu ulizo zitoa za chadema kuamua kukata rufaa siyo sawa, maamzi ya Lema kutokata rufaa ilikuwa ni kabla ya kupitia hukumu lakini baada ya wanasheria wa chama na marafiki walishauri akate rufaa na mambo mengi yaliwekwa wazi na Mbowe trh 8.4.12..