Mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA asema chama kinatarajia kutoa tamko rasmi la kulaani mauaji ya raia yaliyofanywa na jeshi la polisi katika maandamano ya chama hicho mkoani ARUSHA.
Pia amewataka wanaARUSHA kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya NMC kuaga miili ya marehemu hao na kutoa rambirambi kwa familia za wafiwa.
Pia amewataka wanaARUSHA kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya NMC kuaga miili ya marehemu hao na kutoa rambirambi kwa familia za wafiwa.