CHADEMA kutikisa Tanga kuanzia kesho, Zitto kuongoza mashambulizi

Ni majuzitu tulimskia Mbowe akiwaonya CCM bungeni kwamba watashinda ndani ya bunge kwawingi wao wa idadi, lakini CHADEMA itashindana nje.
Nakumbuka pia kutoa comment hii baada ya hoja ya mkonge kupigwa chini kisiasana wabunge wa CCM
[/QUOTE]
CCM wameona hoja ya Zittoikipita CHADEMA watajipatia umaarufu na kupenyeza mikoa kama vile ya Tanga.Lakini hoja hii teyari imewaweka pabaya na 1 kati ya haya mawili yanawezakutokea:
1. Serikali inaweza kufanyia kazi hoja ya Zitto kwa kuunda kweli kamatiiliyosemwa na kufanya tathmini ya mashamba ya mkonge na kutoa mapendekezo yakufufua mashamba na hapa wakitekeleza kwa kujidai kwamba wamefanya wao kama waona sio kwa mapendekezo ya Zitto ili waendelee kujisifu uko majimboniwanapohofia.
2. Wasipofanyia kazi hoja hiyo, basi CHADEMAwataitumia kama nyundo katika mikoa husika wakati wa campaign 2015, na hiiitawakaanga vibaya CCM.
Inasikitisha sana kuona Serikali inawekamaslahi ya chama mbele kuliko maendeleo ya nchi. Tungepunguza tatizo la ajirana kujipatia fedha nyingi za kigeni na kusaidia hali yetu ya uchumi


Naona moja kati ya mawili kweli yanatokea, ila walichonifurahisha CHADEMA nijinsi walivyolichukulia suala hili kwa uharaka... amaa kweli hawana muda wakupoteza.
 
cleardot.gif


TAARIFA KWA UMMA


Ziara hiyo itakayoanza Jumamosi, Februari 18, 2012, itaanzia Wilaya ya Handeni, Korogwe, Mheza, Pangani, kisha Tanga Mjini. Katika maeneo yote hayo Naibu Katibu Mkuu, Mheshimiwa Zitto atakagua uhai wa chama mkoani humo, ambapo atafanya mikutano na wanachama wa CHADEMA.

Viongozi hao wa CHADEMA pia watazungumza na wananchi mkoani Tanga katika mikutano ya hadhara, kwenye maeneo yote hayo. Watatumia fursa hiyo kuzungumzia masuala mbalimbali ya kitaifa na yale ya maeneo husika.

MBali ya kukagua uhai wa chama mkoani Tanga, katika ziara hiyo, Mheshimiwa Zitto , pia atatumia fursa hiyo kuipeleka kwa wananchi na kuifafanua hoja yake aliyoiwasilisha bungeni katika mkutano ulioisha hivi karibuni juu ya zao za mkonge, ambapo baadhi ya wabunge wa Tanga, walisimama kuipinga hoja hiyo.

Kurugenzi ya Habari na Uenezi, inatoa wito katika maeneo yote ambayo msafara huo wa CHADEMA utafanya mikutano, wananchi wahudhurie kwa wingi ili wanufaike na ziara hiyo.

Imetolewa leo Februari 16, 2012, Dar es Salaam na;

Tumaini Makene
Afisa Habari wa CHADEMA
 
Zitto unakipenda sana chama but wenye chama hawakupendi hata kidogo,nnachoshukuru hata wewe mwenyewe unalijua hilo!!!
 
Ushauri mzuri. Mikoa ya Kusini itafanyiwa kazi kama ilivyo kawaida makamanda. Hakuna kulala.Naibu Katibu Mkuu Visiwani, Hamad Musa Yusuf ni mpambanaji sana, kama ilivyo kwa makamanda wengi wa CHADEMA. Anaweza kupangiwa kazi mahali popote bara na visiwani na akapiga mzigo. Asante.

Chadema always ipo makini na strategies zao, na hakika kurugenzi ya mawasiliano kwa umma imepata watu wenyewe, bravo Tumaini Makene, viva chadema.
 

TAARIFA KWA UMMA

Kurugenzi ya Habari na Uenezi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), inapenda kuutarifu umma kuwa viongozi kadhaa wa kitaifa, wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Bara, Mheshimiwa Kabwe Zitto watafanya ziara ya kichama mkoani Tanga.

Ziara hiyo itakayoanza Jumamosi, Februari 18, 2012, itaanzia Wilaya ya Handeni, Korogwe, Mheza, Pangani, kisha Tanga Mjini. Katika maeneo yote hayo Naibu Katibu Mkuu, Mheshimiwa Zitto atakagua uhai wa chama mkoani humo, ambapo atafanya mikutano na wanachama wa CHADEMA.

Viongozi hao wa CHADEMA pia watazungumza na wananchi mkoani Tanga katika mikutano ya hadhara, kwenye maeneo yote hayo. Watatumia fursa hiyo kuzungumzia masuala mbalimbali ya kitaifa na yale ya maeneo husika.

Mbali ya kukagua uhai wa chama mkoani Tanga, katika ziara hiyo, Mheshimiwa Zitto , pia atatumia fursa hiyo kuipeleka kwa wananchi na kuifafanua hoja yake aliyoiwasilisha bungeni katika mkutano ulioisha hivi karibuni juu ya zao za mkonge, ambapo baadhi ya wabunge wa Tanga, walisimama kuipinga hoja hiyo.

Kurugenzi ya Habari na Uenezi, inatoa wito katika maeneo yote ambayo msafara huo wa CHADEMA utafanya mikutano, wananchi wahudhurie kwa wingi ili wanufaike na ziara hiyo.

Imetolewa leo Februari 16, 2012, Dar es Salaam na;

Tumaini Makene

Afisa Habari wa CHADEMA

safi sana! MBONA sisi wa Lushoto hatujaona kama mtafika?au ndo kwa sababu hatuko kulia? Population ya Lushoto ni kubwa na kunachangamoto nyingi za kuipaisha CDM,DON'T IGNORE PLEASE!
 

TAARIFA KWA UMMA

Kurugenzi ya Habari na Uenezi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), inapenda kuutarifu umma kuwa viongozi kadhaa wa kitaifa, wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Bara, Mheshimiwa Kabwe Zitto watafanya ziara ya kichama mkoani Tanga.

Ziara hiyo itakayoanza Jumamosi, Februari 18, 2012, itaanzia Wilaya ya Handeni, Korogwe, Mheza, Pangani, kisha Tanga Mjini. Katika maeneo yote hayo Naibu Katibu Mkuu, Mheshimiwa Zitto atakagua uhai wa chama mkoani humo, ambapo atafanya mikutano na wanachama wa CHADEMA.

Viongozi hao wa CHADEMA pia watazungumza na wananchi mkoani Tanga katika mikutano ya hadhara, kwenye maeneo yote hayo. Watatumia fursa hiyo kuzungumzia masuala mbalimbali ya kitaifa na yale ya maeneo husika.

Mbali ya kukagua uhai wa chama mkoani Tanga, katika ziara hiyo, Mheshimiwa Zitto , pia atatumia fursa hiyo kuipeleka kwa wananchi na kuifafanua hoja yake aliyoiwasilisha bungeni katika mkutano ulioisha hivi karibuni juu ya zao za mkonge, ambapo baadhi ya wabunge wa Tanga, walisimama kuipinga hoja hiyo.

Kurugenzi ya Habari na Uenezi, inatoa wito katika maeneo yote ambayo msafara huo wa CHADEMA utafanya mikutano, wananchi wahudhurie kwa wingi ili wanufaike na ziara hiyo.

Imetolewa leo Februari 16, 2012, Dar es Salaam na;

Tumaini Makene

Afisa Habari wa CHADEMA
Mheshimiwa namtaadharisha hiyo hoja ya mkonge inaweza kubackfire maana watu wanataka mashamba ya katani yafe ili wapate mashamba ya kulima, mfano kama pale Hare, Kelenge, Myusi, Kwa Fungo, Mkanyageni,Bagamoyo hadi kule Mkinga!!!! Watu wanataka mashamba hivyo ajue jinsi ya kuliweka hilo jambo!!!

 
Imetulia kupita maelezo, maana huko ni moja ya maeneo ambayo baadhi waliamini hayaingiliki na chadema.

Ila hapo mmeisahau wilaya ya Kilindi wakuu.
Kule Songe Kilindi kwenye jimbo la Mheshimiwa Bety Sherukindo kweli yafaa vile vile kutembelea huko!!!!CHADEMA uzeni sera mipango yenu inakubalika kwa sasa kuliko CCM,hakuna kulala, wakati ndio huu!!!! Kuanzia Handeni Chanika, Kwediboma Kibrashi, Mafisa na kuendelea!!!!!

 
Zitto unakipenda sana chama but wenye chama hawakupendi hata kidogo,nnachoshukuru hata wewe mwenyewe unalijua hilo!!!

Mkubwa naona hii hoja wanayoijadili watu hujaisoma na kuielewa vyema. Waweza kurudia kuisoma ili uchangie vizuri? Msipende kugombanisha watu bila sababu! CHADEMA ni mali ya wanachama. Hii ni sifa ya chama chochote makini.
 
Mnalijua suala la Mkonge vizuri Tanga au nijushabikia tu,

Unafikiri wale wabunge wa Tanga walivyokataa ni wajinga?

Sasa iko hivi...

Yale mashamba ni ya serikali ila tatizo amepewa mtu mmoja ayamiliki na kuyaendesha baada ya kipindi Kile Mkonge kuyumba...

Kwahiyo sasa hivi huyo aliepewa ndio anamamlaka ya kuwakodisha watu tu na sio kuwamilikisha hoja ya wananchi sisi wa Tanga tunataka watu wapewe na iwe hiari kuuza Mkonge popote na kwa utaratibu ambao wananchi wakua na miliki isiyokua chini ya mtu mmoja..

Na inasemekana hayo mashamba yameombewa mkopo mkubwa tu kinyume na utaratibu sasa hii hoja sio yakukurupuka ataaibika vibaya sana.

Ndio maaana serikali waliunda tume ndogo kufuatilia hiyo issue baada ya Mhe Maji marefu kuuliza swali sijui namba Mia Tatu na ngapi I can't recall , I bet u all bn following up closely during Bunge....

Na pia kuna Taarifa kulikua na kundi la waandishi wa habari na Mhe Zito alikuwepo kwenye hiyo Ziara mkoani Tanga na amepewa Mkwanja Mrefu kati ya hizo Pesa zilizoomba kupitia mashamba hayo ya Tanga.


Nadhani Tuwe tunafuatilia mambo kwa kina.
 
Back
Top Bottom