njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 12,368
- 5,511
Imetulia kupita maelezo, maana huko ni moja ya maeneo ambayo baadhi waliamini hayaingiliki na chadema.
Ila hapo mmeisahau wilaya ya Kilindi wakuu.
huko ni ngome ya CUF & CCM ...
Imetulia kupita maelezo, maana huko ni moja ya maeneo ambayo baadhi waliamini hayaingiliki na chadema.
Ila hapo mmeisahau wilaya ya Kilindi wakuu.
huko ni ngome ya cuf & ccm ...
huko ni ngome ya cuf & ccm ...
Imetulia kupita maelezo, maana huko ni moja ya maeneo ambayo baadhi waliamini hayaingiliki na chadema.
Ila hapo mmeisahau wilaya ya Kilindi wakuu.
Mnalijua suala la Mkonge vizuri Tanga au nijushabikia tu,
Unafikiri wale wabunge wa Tanga walivyokataa ni wajinga?
Sasa iko hivi...
Yale mashamba ni ya serikali ila tatizo amepewa mtu mmoja ayamiliki na kuyaendesha baada ya kipindi Kile Mkonge kuyumba...
Kwahiyo sasa hivi huyo aliepewa ndio anamamlaka ya kuwakodisha watu tu na sio kuwamilikisha hoja ya wananchi sisi wa Tanga tunataka watu wapewe na iwe hiari kuuza Mkonge popote na kwa utaratibu ambao wananchi wakua na miliki isiyokua chini ya mtu mmoja..
Na inasemekana hayo mashamba yameombewa mkopo mkubwa tu kinyume na utaratibu sasa hii hoja sio yakukurupuka ataaibika vibaya sana.
Ndio maaana serikali waliunda tume ndogo kufuatilia hiyo issue baada ya Mhe Maji marefu kuuliza swali sijui namba Mia Tatu na ngapi I can't recall , I bet u all bn following up closely during Bunge....
Na pia kuna Taarifa kulikua na kundi la waandishi wa habari na Mhe Zito alikuwepo kwenye hiyo Ziara mkoani Tanga na amepewa Mkwanja Mrefu kati ya hizo Pesa zilizoomba kupitia mashamba hayo ya Tanga.
Nadhani Tuwe tunafuatilia mambo kwa kina.
acha unafiki wewe!Zitto unakipenda sana chama but wenye chama hawakupendi hata kidogo,nnachoshukuru hata wewe mwenyewe unalijua hilo!!!
Zitto yeye anasema hivi:Kurugenzi ya Habari na Uenezi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), inapenda kuutarifu umma kuwa viongozi kadhaa wa kitaifa, wakiongozwa na Naibu Katibu Mkuu Bara, Mheshimiwa Kabwe Zitto watafanya ziara ya kichama mkoani Tanga.
TAARIFA KWA UMMA
Ziara hiyo itakayoanza Jumamosi, Februari 18, 2012, itaanzia Wilaya ya Handeni, Korogwe, Mheza, Pangani, kisha Tanga Mjini. Katika maeneo yote hayo Naibu Katibu Mkuu, Mheshimiwa Zitto atakagua uhai wa chama mkoani humo, ambapo atafanya mikutano na wanachama wa CHADEMA.
Viongozi hao wa CHADEMA pia watazungumza na wananchi mkoani Tanga katika mikutano ya hadhara, kwenye maeneo yote hayo. Watatumia fursa hiyo kuzungumzia masuala mbalimbali ya kitaifa na yale ya maeneo husika.
Mbali ya kukagua uhai wa chama mkoani Tanga, katika ziara hiyo, Mheshimiwa Zitto , pia atatumia fursa hiyo kuipeleka kwa wananchi na kuifafanua hoja yake aliyoiwasilisha bungeni katika mkutano ulioisha hivi karibuni juu ya zao za mkonge, ambapo baadhi ya wabunge wa Tanga, walisimama kuipinga hoja hiyo.
Kurugenzi ya Habari na Uenezi, inatoa wito katika maeneo yote ambayo msafara huo wa CHADEMA utafanya mikutano, wananchi wahudhurie kwa wingi ili wanufaike na ziara hiyo.
Imetolewa leo Februari 16, 2012, Dar es Salaam na;
Tumaini Makene
Afisa Habari wa CHADEMA
unaona hizo NI, NI, ....Zina maana yake!Zitto Kabwe
Kwa siku 5 nitakuwa na ziara ya kukagua uhai wa chama mkoa wa Tanga. Nitakutana na viongozi wa chama ngazi za Kata na Majimbo na mikutano ya hadhara katika Wilaya za Handeni, Korogwe, Muheza, Pangani na Jiji la Tanga. Tutawakumbusha wananchi wa Tanga umuhimu wa kufanya mabadiliko katika siasa za nchi yetu na nafasi ya mkoa wa Tanga katika historia ya Tanzania.
Zitto yeye anasema hivi:
unaona hizo NI, NI, ....Zina maana yake!