Makonda asema pesa za kujenga ofisi ya CHADEMA zimetolewa na Rais Samia

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,166
4,581
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM, Paul Makonda akiwa Himo Mkoani Kilimanjaro katika ziara yake kutembelea mikoa 20 nchini kufuatilia utekelezaji Ilani ya CCM amesema.

"Wenzetu wa CHADEMA wanasema eti maridhiano yaliyoletwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan eti hayana faida yoyote na kwamba Serikali kazi yao ni kuwakandamiza tu wananchi hapana."

Serikali ya Rais Samia ndio imetoa fedha za ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA ili waondokane na adha ya kupanga tangu chama hicho kianzishwe. Nimeamua kusema maana wenzetu CHADEMA kazi yao kueleza mabaya tu na sio mazuri kama haya ambayo Serikali inawafanyia wananchi.
 
Sasa tushike lipi mwana ccm
Mwenzie kindaki ndaki Pasco Mayalla anasema chadema wamepanga kote mikochen na ufipa na anajuwa wamiliki wa sehem zote had bei ya kodi

Mwenezi anasema jengo ni la chadema sema
Pesa katoa mama.. mna tumix mjue
 
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM, Paul Makonda akiwa Himo Mkoani Kilimanjaro katika ziara yake kutembelea mikoa 20 nchini kufuatilia utekelezaji Ilani ya CCM amesema.

"Wenzetu wa CHADEMA wanasema eti maridhiano yaliyoletwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan eti hayana faida yoyote na kwamba Serikali kazi yao ni kuwakandamiza tu wananchi hapana."

Serikali ya Rais Samia ndio imetoa fedha za ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA ili waondokane na adha ya kupanga tangu chama hicho kianzishwe. Nimeamua kusema maana wenzetu CHADEMA kazi yao kueleza mabaya tu na sio mazuri kama haya ambayo Serikali inawafanyia wananchi.
Kwani bange Bado unaendelea kuvuta tu?
 
Sasa tushike lipi mwana ccm
Mwenzie kindaki ndaki Pasco Mayalla anasema chadema wamepanga kote mikochen na ufipa na anajuwa wamiliki wa sehem zote had bei ya kodi

Mwenezi anasema jengo ni la chadema sema
Pesa katoa mama.. mna tumix mjue
Ukibishana na kichaa nawe utakuwa kichaa pia
 
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM, Paul Makonda akiwa Himo Mkoani Kilimanjaro katika ziara yake kutembelea mikoa 20 nchini kufuatilia utekelezaji Ilani ya CCM amesema.

"Wenzetu wa CHADEMA wanasema eti maridhiano yaliyoletwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan eti hayana faida yoyote na kwamba Serikali kazi yao ni kuwakandamiza tu wananchi hapana."

Serikali ya Rais Samia ndio imetoa fedha za ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA ili waondokane na adha ya kupanga tangu chama hicho kianzishwe. Nimeamua kusema maana wenzetu CHADEMA kazi yao kueleza mabaya tu na sio mazuri kama haya ambayo Serikali inawafanyia wananchi.
hili nalo litawatesaaaaaa :D
 
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM, Paul Makonda akiwa Himo Mkoani Kilimanjaro katika ziara yake kutembelea mikoa 20 nchini kufuatilia utekelezaji Ilani ya CCM amesema.

"Wenzetu wa CHADEMA wanasema eti maridhiano yaliyoletwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan eti hayana faida yoyote na kwamba Serikali kazi yao ni kuwakandamiza tu wananchi hapana."

Serikali ya Rais Samia ndio imetoa fedha za ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA ili waondokane na adha ya kupanga tangu chama hicho kianzishwe. Nimeamua kusema maana wenzetu CHADEMA kazi yao kueleza mabaya tu na sio mazuri kama haya ambayo Serikali inawafanyia wananchi.
Rais anafanya biashahara gani Hadi atoe hela? Hela zinatoka kwa mujibu wa Sheria na sio hisani.
 
Huyo taktaka makonda kesho yupo hapa Arusha... .. atakuwa USA river najiandaa kwenda kumshika makalio asijidanganye anakuja kwa mabinjooo aloo!!, Akileta fedhea atakipata chakudekelee.
 
Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM, Paul Makonda akiwa Himo Mkoani Kilimanjaro katika ziara yake kutembelea mikoa 20 nchini kufuatilia utekelezaji Ilani ya CCM amesema.

"Wenzetu wa CHADEMA wanasema eti maridhiano yaliyoletwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan eti hayana faida yoyote na kwamba Serikali kazi yao ni kuwakandamiza tu wananchi hapana."

Serikali ya Rais Samia ndio imetoa fedha za ujenzi wa Ofisi za Makao Makuu ya CHADEMA ili waondokane na adha ya kupanga tangu chama hicho kianzishwe. Nimeamua kusema maana wenzetu CHADEMA kazi yao kueleza mabaya tu na sio mazuri kama haya ambayo Serikali inawafanyia wananchi.
Kwa hiyo umeamua kumuamini mwenezi wenu roporopo?
 
Ile nyumba ya mtu waliyopanga CHADEMA pale mikocheni ndio kusema imejengwa na hela za CCM au kodi kalipa mama!

Ufafanuzi tafadhali.
 
Back
Top Bottom