CHADEMA: Israel ituombe radhi

anaesema Tanzania ni vilaza yeye ni kilaza ila taifa letu si la vilaza. haijalishi mtu ni ombaomba au nani Israeli haina nafasi ya Kusema sisi si wa muhimu wala wa maana kwani wao wana faida gani kwetu? mtu anaongea mbovu kuhusu taifa letu halafu wengine mnafurahia? uongozi mbaya wa CCM ni mambo ya ndani ya nchi tusiruhusu mtu atutukane halafu mnaunga mkono jitu lisilo na faida kwetu watanzania tuache kuwa Damn Stupids tuwe Damn Smarts. I sraeli ni nani???????????? Bull shit tupa kule. Toeni tofauti zenu wakati mjinga yeyote anapoingilia Taifa letu. Go to hell Barak :embarassed2:
 
Laiti tungelikuwa na Rais kama Baba wa Taifa Mwl. J.K. Nyerere, sasa hivi Balozi wa Israel angelikuwa tayari yuko kwenye ndege anarudi kwao na kupishana na Balozi wetu akitokea Israel. Potelea mbali, misaada yake isije, tukae tutumie vyanzo vyetu.

hatuna ubalozi wa Israel hapa tanzania na ndio maana analopoko hana cha kupoteza
 
Wala hajakosea jamaa wa watu kwani kuna Tanganyika na sio Tanzagiza!!!!!
 
Waziri wa ulinzi wa israel yupo sahihi!
Wanaompinga waseme kwa sasa umuhimu wetu ndani na nje ya nchi ni upi?

kumbuka anaposema tanzania aina umuhimu duniani.. anamaana na wananchi wa tanzania,hakuna TANZANIA BILA WATANZANIA SO for ur info. wewe kama mtanzania umekuwa included ndani kwamba you are nothing! .. ni kama ile karatasi ya toi... sasa nashangaa unaposhabikia hawa wapumbavu walivyo tutukana .. labda mwenzetu mkenya! AU Kama unadhani weye hauna umuhimu kivyako ... ni weye peke yako... $%$&:embarassed2:

 
Kwanza Israel katusaidia kutuonyesha u-kondoo wetu.... UKWELI UTABAKI KUWA UKWELI.. hata tujitutumue vipi..!!! Mwingine anamuushisha Nyerere..!!! Enzi za Nyerere upuuzi wote uaotudharaurisha usingekuwepo!!! watu mnagawa dhahabu bure kwa majahili bado msidharaulike!!!! Hata wasiosema wanatudharau zaidi ila wanaona wanyamaze ili....... (people might not notice the difference).... Mtu mzima miaka 50 bado hata kutambaa hawezi!!! Kalaaniwa au ni zezeta.... SAMAHANI KAMA NIMEKUKWAZA

Hujanikwaza bali umenifurahisha
 
Kwani Israel imeongea uongo? Kama dege la kijeshi linatua nchini na Usalama wa Taifa wapo na linapakia Twiga na kupaa tena bila rais kujua hii nchi ina maana kweli?

Mkuu umenena! Watajua saa ngapi wakati wao usalama wa taifa una maana ya usalama wa sisiem!
 
Tulipoibiwa chenji na Uingereza mbona Israel hawakututetea wala hawakusema ubovu wa sera ya Uingereza ya kuziibia nchi changa? Ni vingapi tumeibiwa na nchi kubwa bado hatujui. wanatajirika kupitia mgongo wetu kisha wanarusha matusi....pambaf
 
Naungana na Israel Kuwa Tanzania kama nchi haina maana kabisa, ni mavi matupu hivyo inanuka sana. Na hii ni faida ya kuwa na viongozi wasio na dira,Rasilimali zote tulizo nazo hazitusaidii kila siku kuombaomba tu.


Dah hii nchi kuna watu wamepinda. Sikutegemea kama hali imeshafika hivi..yaani tz ni sawa mavi...e mola tuepushe na hili balaa...dah ni sababu ya CCM tu au kuna kingine?
 
sera ya Ukoloni ya mambo ya nje iliishia wapi? bado hawajatulipa fidia za ukoloni tuna haki ya kuomba kwao mpaka kieleweke. kama wanataka watoe fidia yaishe.
 


kumbuka anaposema tanzania aina umuhimu duniani.. anamaana na wananchi wa tanzania,hakuna TANZANIA BILA WATANZANIA SO for ur info. wewe kama mtanzania umekuwa included ndani kwamba you are nothing! .. ni kama ile karatasi ya toi... sasa nashangaa unaposhabikia hawa wapumbavu walivyo tutukana .. labda mwenzetu mkenya! AU Kama unadhani weye hauna umuhimu kivyako ... ni weye peke yako... $%$&:embarassed2:


Wewe unaumuhimu gani hapa tz?,Lazima ukubalia na kauli ya barak tz ni sawa na toilet paper
 
Mavi hayo ya kunuka wamekunya chama fulani kikuu cha upinzani dhidi ya CCM.... thread hii pia imeanzishwa na chama hicho hicho.

Dah hii nchi kuna watu wamepinda. Sikutegemea kama hali imeshafika hivi..yaani tz ni sawa mavi...e mola tuepushe na hili balaa...dah ni sababu ya CCM tu au kuna kingine?
 
Mbona magari ya wana CHADEMA wengi yana bendera za Israel?
Hili si Taifa Teule? Pengine wameagizwa na 'mungu' wa Israel! Sisi tutajuaje?
 
Tulipoibiwa chenji na Uingereza mbona Israel hawakututetea wala hawakusema ubovu wa sera ya Uingereza ya kuziibia nchi changa? Ni vingapi tumeibiwa na nchi kubwa bado hatujui. wanatajirika kupitia mgongo wetu kisha wanarusha matusi....pambaf

wakutetee vipi wakati nyie watz mlikubaliana huo wizi?
 
Mnyika umekurupuka mbona na hapa kuna makabila ni ombaomba mtaani hujawasemea wa ndani? badala ya kusema ombaomba wa ndani ya nchi hawana maana na si muhimu ni vema kujua kwa nini wanaomba? ukijua kwa nini wanaomba ni rahisi kuziba ufa ili wasiombe tena.
 


Wewe unaumuhimu gani hapa tz?,Lazima ukubalia na kauli ya barak tz ni sawa na toilet paper

Kabla hujakurupuka you should Ask what i do for a living ...!? Am a Doctor holding bachelor of MD & Surgery .... unajuwa toka 2005 mpaka sasa nimeokoa maisha ya watu wangapi hospitali ....! kama weye ni jobless na huna umuhimu hapa duniani ni kivyako na siwezi nikakubaliana na kauli za huyo mpuuzi kwa mimi ni sawa na karatasi la toilet mimi kama mtanzania nina umuhimu wangu kama sio kwake basi kuna watu wengine ... pumbav sana huyo barak #%&@

 
Safi sana Barak,Naungana na wewe tanzania si nchi ya maana hata kidogo,hii inatokana na sirikali ya kishkaji ya m.kwer.e,kila siku mguu na njia na bakuli kuomba misaada lazima watudharau,watz tusikasirike ndo ukweli halisi
 
Mnyika umekurupuka mbona na hapa kuna makabila ni ombaomba mtaani hujawasemea wa ndani? badala ya kusema ombaomba wa ndani ya nchi hawana maana na si muhimu ni vema kujua kwa nini wanaomba? ukijua kwa nini wanaomba ni rahisi kuziba ufa ili wasiombe tena.

mnyika hajakurupuka kauli aliyotoa ni ya ki patriotic & kisomi...! zaidi huwezi nchi yako & wananchi wakatukanwa alafu ukaa kimya tu.. kisa ni maskini ... mnyika alificha upumbavu na kuonesha hekima yake!! Big up Mnyika :poa
 
Tanzania ni yetu lakini kweli ni zero kwa wenzetu. Tusipojiuliza hili swali la 'Kwanini Kenya hiko juu ya Tanzania kiuchumi?' tutabaki kudhalauliwa. Tujilinganishe na jirani siyo nchi zingine na kama hatuna sababu muhimu basi tukubali sisi hatuna maana. Well said Barak.
 
Kama Mnyika hana agenda ya siri na tamko hilo kwa nini kaongeza maneno mengi ya kumrisha Ehud Barak..... chadema mnashangaza sana suala la ushoga hamkulipa coverage kama hii kwa sababu tu mshirika wenu conservative alianzisha dhidi ya serikali yetu. mbona hamkusema Uingereza ituombe radhi kwa sera yao hiyo mbovu dhidi ya nchi changa?

Pipijojo,

Sina ajenda ya siri, ili kuepusha kumnukuu tofauti, tumeyanukuu maneno yote kwa lugha ile ile ambayo imenukuliwa kwenye vyombo vya habari vya Israel; tafadhali rejea kwenye taarifa kamili.

Kuhusu Ushoga; tulitoa kauli naomba nikuwekee hapa chini kama ilivyo kwa ajili ya rejea yako na ya wengine:

TAARIFA KWA UMMA
Kurugenzi ya Mambo ya Nje na Mahusiano ya Kimataifa ya CHADEMA inatoa mwito kwa Rais Jakaya Kikwete kutumia mazungumzo kuhusu mahusiano baina ya Tanzania na Uingereza yanayotarajiwa kufanyika wakati wa ziara ya mtoto wa Mfalme wa Uingereza Charles na mkewe kuanzia tarehe 7 Novemba 2011 kushughulikia masuala yaliyojitokeza hivi karibuni yenye kuweza kuathiri mahusiano ya nchi zetu.Katika siku za karibuni Serikali ya Uingereza imepunguza misaada yake ya kibajeti kwa Tanzania kwa asilimia 30 kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa serikali hususani kuhusiana na masuala ya kuboresha mazingira ya kibiashara na kutoa fursa kwa wananchi kuwawajibisha viongozi. Uamuzi huo wa Serikali ya Uingereza umeelezwa kupitia barua ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Nchi hiyo Andrew Mitchell ya tarehe 3 Agosti 2011 kwenda kwa Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge la Nchi hiyo kuhusu Uchumi .“Ni vizuri pande zote mbili Rais Kikwete na Mwanamfalme Charles wakawaeleza watanzania kuhusu sababu za ziada za maamuzi haya. Vyanzo mbalimbali vinaeleza kuwa sababu halisi ni washirika wa maendeleo kutoridhika na kasi ya vita dhidi ya ufisadi kwa upande mmoja na kwa upande mwingine ukanda wa ulaya (Eurozone) kukumbwa na matatizo ya kifedha”.Aidha, Rais Kikwete atumie mazungumzo ya ziara hiyo kuwaeleza watanzania mkakati wa nchi kupunguza tatizo la utegemezi ambalo linasababisha nchi kupewa misaada yenye masharti ya kibeberu, ikiwemo kulieleza taifa namna ambavyo nakisi ya bajeti inayotokana na wahisani kupunguza fedha zao kwa Tanzania itaweza kuzibwa kwa kuongeza uzalishaji, mauzo ya nje na kupunguza ubadhirifu katika serikali.Kwa upande mwingine, pamoja na kauli iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Mahusiano ya Kimataifa Benard Membe kuwa Tanzania iko tayari kukubali kukosa misaada yote toka Uingereza ikiwa serikali ya nchi hiyo italazimisha kutungwa kwa sheria ya kuruhusu ushoga, usagaji na ndoa ya jinsia moja; ni muhimu kwa Rais Kikwete kutumia mazungumzo hayo kufikisha ujumbe kamili wa kupinga masuala hayo kwa niaba ya watanzania.Kurugenzi ya Mambo ya Nje na Mahusiano ya Kimataifa ya CHADEMA inaunga mkono msimamo wa serikali ya Tanzania wa kukataa kufanya mabadiliko ya sheria ya kuruhusu vitendo hivyo ambavyo ni kinyume cha sheria na utamaduni wetu.“Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA kifungu 3.1.8, kwa falsafa yetu ya nguvu ya umma na itikadi ya mrengo wa kati CHADEMA inaweka umuhimu wa pekee katika familia kama moja ya taasisi muhimu za kijamii. Hivyo, tunapinga vitendo vya ushoga, usagaji na ndoa ya jinsia moja kwa kuwa vinakinzana na misingi ya maadili na uwepo wa familia”.Kurugenzi ya Mambo ya Nje ya CHADEMA inataka ujumbe mahususi utolewe na Rais Kikwete kupitia ziara hiyo sababu wakati wa kujadiliwa kwa ripoti ya ndani ya mustakabali wa Jumuia ya Madola (Internal Report on the future relevance of Commonwealth) katika Mkutano wa Jumuia ya Madola uliomalizika karibuni; Rais Kikwete hakutoa ujumbe mkali kwa Serikali ya Uingereza wakati wa kujadiliwa kwa masuala ya haki za binadamu tofauti na kauli ambayo serikali iliitoa kupitia vyombo vya habari wakati ujumbe wake uliporejea Tanzania.Wenu katika demokrasia na maendeleo, John Mnyika (Mb)Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Mahusiano ya Kimataifa (CHADEMA)06/11/2011
 
Back
Top Bottom