CHADEMA: Israel ituombe radhi





Kabla hujakurupuka you should Ask what i do for a living ...!? Am a Doctor holding bachelor of MD & Surgery .... unajuwa toka 2005 mpaka sasa nimeokoa maisha ya watu wangapi hospitali ....! kama weye ni jobless na huna umuhimu hapa duniani ni kivyako na siwezi nikakubaliana na kauli za huyo mpuuzi kwa mimi ni sawa na karatasi la toilet mimi kama mtanzania nina umuhimu wangu kama sio kwake basi kuna watu wengine ... pumbav sana huyo barak #%&@


Pamoja na Dr. Wako hivi wazungu wanavyotoweka na madini tz na kuacha mashimo mengi na sumu,huoni tunatumika kama toilet paper,kwamba wazungu wanatuthamini wanapotaka kitu toka kwetu? Pili viongozi wetu wameitia nchi hasara kubwa wewe na udr wako umefanya nini?
 
Dah kweli uongozi wa Tanzania ni legelege ,nchi imekosa thamani yake kimataifa chini ya huyu Rais muuza sura,ameombaomba dunia nzima mpaka wamemwona bweg .Nchi ambayo waziri wake wa mambo ya nje ni poyoyo.
 
Pamoja na Dr. Wako hivi wazungu wanavyotoweka na madini tz na kuacha mashimo mengi na sumu,huoni tunatumika kama toilet paper,kwamba wazungu wanatuthamini wanapotaka kitu toka kwetu? Pili viongozi wetu wameitia nchi hasara kubwa wewe na udr wako umefanya nini?


you are so thick mate aren't you ...?!! nishakwambia hapo umetukanwa wewe kama mtanzania... ni sawa anakuja mtu anakuita MBWA WE! na wewe unashangilia na kurukaa YEEY !! NIMEITWA MBWA ... hebu jifunze kuwa patriotic na nchi yako!.. sahau u ccm na uchadema, U cuf pale mgeni anapokutukana na kukudharau usishangilie unapotukanwa wawapi weye ..??, alafu wauliza nini umuhimu wa Dactari katika nchi hii ya tanzania! are u serious mate..?!

 
...Tanzania si nchi ya muhimu wala ya maana.... NARUDIA TENA Tanzania si nchi ya muhimu wala ya maana... Hata Rwanda wanaweza kabisa kutuambia hivyo
 
tanzania nchi ya vilaza..sisi tunaomba omba kila siku kwenye uombaji tupo level moja na afganistani huko kwa nini wasiwadharau


Ndg uwe makini na maneno yako, kilaza labda wewe!

Kila thread ninayofungua naona umechangia mara kibao, mnapata wapi muda huo? Je si nyinyi mnachangia umaskini huu wa TZ. Kama unafanya kazi utakuwa hufanyi unashinda jf. Huu ni ufisadi!

Fanya kazi na lipa kodi ili serikali isiwe omba omba.
 
...Tanzania si nchi ya muhimu wala ya maana.... NARUDIA TENA Tanzania si nchi ya muhimu wala ya maana... Hata Rwanda wanaweza kabisa kutuambia hivyo

Hayo ni mawazo yako finyu, TZ ni muhimu sana kuliko uongo mnaolishwa na viongozi wa vyama vyenu.
Kwa taarifa unajitukana mwenyewe.
 



you are so thick mate aren't you ...?!! nishakwambia hapo umetukanwa wewe kama mtanzania... ni sawa anakuja mtu anakuita MBWA WE! na wewe unashangilia na kurukaa YEEY !! NIMEITWA MBWA ... hebu jifunze kuwa patriotic na nchi yako!.. sahau u ccm na uchadema, U cuf pale mgeni anapokutukana na kukudharau usishangilie unapotukanwa wawapi weye ..??, alafu wauliza nini umuhimu wa Dactari katika nchi hii ya tanzania! are u serious mate..?!


Mkuu Njiwa,
Umeona unafiki huu wa Mitanzania na ujinga watu wao, wanatukanwa wanashangilia kisa alietukana kipenzi chao Isarel.

Inawezekana kabisa humu kuna watu hata akikuta mke wake kajazwa mimba na Muisrael au Mzungu, atashangila sana na kutoa pongezi
 
Kwa kweli as a patriotic Tanzanian hichi kitu kimeniuma sana
And bad enough ana kila sababu
 



you are so thick mate aren't you ...?!! nishakwambia hapo umetukanwa wewe kama mtanzania... ni sawa anakuja mtu anakuita MBWA WE! na wewe unashangilia na kurukaa YEEY !! NIMEITWA MBWA ... hebu jifunze kuwa patriotic na nchi yako!.. sahau u ccm na uchadema, U cuf pale mgeni anapokutukana na kukudharau usishangilie unapotukanwa wawapi weye ..??, alafu wauliza nini umuhimu wa Dactari katika nchi hii ya tanzania! are u serious mate..?!


Hivi huo udactari wako usiwe nongwa, hivi ukiwa mpumbafu na unafanya mambo ya kipumbafu naniproved hivi hustahili kuitwa mpumbafu?
 
Kwani Israel imeongea uongo? Kama dege la kijeshi linatua nchini na Usalama wa Taifa wapo na linapakia Twiga na kupaa tena bila rais kujua hii nchi ina maana kweli?
Wewe acha utani na serikali au hujaona makondoo wa Tanzania walivyo onyesha ukakamavu mbele ya JK pamoja na kuvunja matofali....
 
...Tanzania si nchi ya muhimu wala ya maana.... NARUDIA TENA Tanzania si nchi ya muhimu wala ya maana... Hata Rwanda wanaweza kabisa kutuambia hivyo

Kama mTanzania mwenyewe anaweza kusema maneneo haya tutegemee nini?
Yaani waTanzania hatuna utaifa kabisa and this is very dangerous. No wonder mafisadi wanaendelea kupeta maana hatuna uchungu na nchi yetu.

We might not be important to Israel and the likes but to others i believe we are.

Come on my fellow Tanzanians, we need to be PATRIOTIC and NON PARTISAN when it comes to such matters as all Tanzanians have been insulted and not only members of the ruling party.
 
Ndg uwe makini na maneno yako, kilaza labda wewe!

Kila thread ninayofungua naona umechangia mara kibao, mnapata wapi muda huo? Je si nyinyi mnachangia umaskini huu wa TZ. Kama unafanya kazi utakuwa hufanyi unashinda jf. Huu ni ufisadi!

Fanya kazi na lipa kodi ili serikali isiwe omba omba.

Mkuu FIDIVIN.
Hawa ni jamaa ndio uwa wanatoa Congratulate kwa wazungu hata kama wakiwachukuwa watoto wao!
 
Mkuu Njiwa,
Umeona unafiki huu wa Mitanzania na ujinga watu wao, wanatukanwa wanashangilia kisa alietukana kipenzi chao Isarel.

Inawezekana kabisa humu kuna watu hata akikuta mke wake kajazwa mimba na Muisrael au Mzungu, atashangila sana na kutoa pongezi

mi nawashangaa sana hawa watu! hapo hajatukanwa kikwete wala CCM wala serikali ya CCM hapo aliyetukanwa ni MTANZANIA... nasikitika nikiona wakishangilia..

Hivi huo udactari wako usiwe nongwa, hivi ukiwa mpumbafu na unafanya mambo ya kipumbafu naniproved hivi hustahili kuitwa mpumbafu?

Hebu issue ya udactari weka pembeni weye unavyoona hapa nani hapa ni mpumbavu! yule anayeitwa Mbwa / toilet paper na anashangilia kuitwa hivo ... au yule anayepinga kwa si hivyo unavyonifikiria ....

mkuu hakikwanza narudia tena aliyetukanwa sio serikali bali wewe MTANZANIA..! nakushangaa ukikubali na kushangilia kuitwa mpumbavu! ... jitahidi basi utoke ndani ya huo upumbavu kwani mimi sipo huko.. nakushauri ujifunze nini maana ya patriotism..

ADIOS
 
Ndg uwe makini na maneno yako, kilaza labda wewe!

Kila thread ninayofungua naona umechangia mara kibao, mnapata wapi muda huo? Je si nyinyi mnachangia umaskini huu wa TZ. Kama unafanya kazi utakuwa hufanyi unashinda jf. Huu ni ufisadi!

Fanya kazi na lipa kodi ili serikali isiwe omba omba.
Huu ni umbea umekalia kuchunguza nani kajibu kila thread wewe huna kazi za kufanya badala yake umekalia kufalia nani kajibu zaidi...unazungumzia kulipa kodi tume lipa sana tunajaza matumba ya mafisadi labda utuambie kwani alishawahi kuja kukuomba cha kula nyumbani kwako, Je wewe una lipa kiasi gani kodi kwa mwaka....
 
Mkuu Njiwa,
Umeona unafiki huu wa Mitanzania na ujinga watu wao, wanatukanwa wanashangilia kisa alietukana kipenzi chao Isarel.

Inawezekana kabisa humu kuna watu hata akikuta mke wake kajazwa mimba na Muisrael au Mzungu, atashangila sana na kutoa pongezi
Mimi nadhani suala hapa si nani (Israel) katutukana bali ni kwa nini tumetukanwa, na watu wengine hawajui kwamba si nchi yetu pekee iliyokuwa kwenye tusi la Bwana Yehud Barack bali na nyingine pia zilikuwepo. Maneno ya Barack ni ulevi tu wa kujiona kwamba wao ni wakubwa na sisi si chochote si lolote.

Lakini cha kujiuliza kwa uzowefu wangu hizi hotuba za viongozi wa Magharibi na huko Mashariki ya Kati huandikwa na wataalamu wa kuandika hotuba (speech writers/Ghost writers), jee ni nini kilichosababisha (Siyo kilichopelekea) wao waandishi au washauri wa hotuba wa waziri huyu kuiweka Tanzania kwenye kundi la nchi ambazo hazina umuhimu ulimwenguni na kwa Israel?

Wengine walikuwa wadogo au walikuwa hawajui kwamba kuna wakati enzi za Mwalimu waisrael walitimuliwa hapa nchini kutokana na kupinga misimamo ya Nyerere kuhusu Palestina, na ndiyo maana leo pale sinza kuna Sehemu panaitwa Palestina kwa sababu Mwalimu aliwapa wapalestina eneo lile waweke Hospitali yao ambayo wengine meno yetu tuling'oa pale palestina. Jee Israel bado ina kinyongo kutokana na kutimuliwa na Mwalimu wakati ule na Mwalimu kuwakaribisha wapalestina? Na ikumbukwe wakati wanatimuliwa walikuwa anatusaidia kuanzisha JKT.

Jee mahusiano kati ya Tanzania na Iran ambayo ni adui mkubwa wa Israel yakoje na viongozi wetu wanayateteaje? Nafasi zinazotolewa na Tanzania kwa Israel kwa ajili uwekezaji zinalingana na zile zinazotolewa kwa nchi nyingine ambazo ni maadui wa Israel? Kwa hiyo bila ya kujua yanayotendeka nyuma ya pazia tutabaki tunapiga domo tu humu JF.
 
...aliyetukanwa sio serikali bali wewe MTANZANIA..! nakushangaa ukikubali na kushangilia kuitwa mpumbavu! ... jitahidi basi utoke ndani ya huo upumbavu kwani mimi sipo huko..
Rafiki wa kweli ni yule anaekuambia ukweli, Israel wametuambia ukweli kuliko wale wanao tuambia uchumi wetu unapaaaaaaaaa wakati tuna pigika mpaka hata pesa ya kulipa wafanyakazi hatuna.....
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemtaka Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, kuitaka Serikali ya Israel kuwaomba radhi Watanzania kutokana na kauli ya Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo, Ehud Barak, kudai kuwa Tanzania si nchi ya muhimu wala ya maana.

Aidha, chama hicho kupitia Kurugenzi yake ya Mambo ya Nje na Mahusiano ya Kimataifa kimemtaka Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi, kueleza iwapo hatua hiyo ndiyo msingi wa mahusiano yaliyopo kati ya nchi hizo, hasa ikizingatiwa kuwa serikali imekuwa ikieleza kwamba Tanzania ina mahusiano mazuri ya kiulinzi na Israel.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Mahusiano ya Kimataifa wa CHADEMA kupitia mtandao wake wa kijamii.

Waziri Barak alifanya mahojiano na Radio Israel na kutoa kauli ambayo imenukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari vya nchi hiyo kuwa Tanzania si nchi ya muhimu wala ya maana hata kufikia hatua ya kuilinganisha na eneo ndani ya Libya linaloitwa Tripolitania.

Mnyika alisema kupuuzwa huku kwa nchi yetu katika medani ya kimataifa kunatokana na sera mbovu ya mambo ya nje chini ya utawala wa sasa wa Chama cha Mapinduzi (CCM).

“Tanzania imepoteza heshima katika siasa za dunia kutokana na diplomasia yetu kujikita katika kuomba omba kimataifa; pamoja na kuwa kimaneno na maandishi serikali inazungumza kuhusu diplomasia ya kiuchumi, kivitendo mahusiano yetu yamejengeka katika misingi ya utegemezi, kupungua kwa urari wa kibiashara na kuachia mianya ya uporwaji wa rasilimali,” alisema.

Alieleza kuwa kauli ya Waziri Barak ni muendelezo wa mataifa mbalimbali kuifanya Tanzania na baadhi ya nchi nyingine za Afrika kukosa heshima wala sauti katika siasa za kimataifa kama ambavyo serikali za Uingereza na Marekani zilivyoweka masharti yenye mwelekeo wa ukoloni mamboleo kuhusu masuala ya ushoga na usagaji.

“Barua pekee ya Balozi wa heshima wa Tanzania nchini Israel, Kasbian Nuriel Chirich, kwenda kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel, Avigdor Lieberman ya kulaani matamshi hayo na kumkaribisha mwakilishi wa Israel kutembelea Tanzania haitoshi kuifanya serikali ya nchi hiyo kutambua athari za kidiplomasia za kauli iliyotolewa,” alisema Mnyika.

Mbunge huyo alieleza kuwa wakati wa uongozi wa awamu ya kwanza wa hayati Mwalimu Julius Nyerere, Tanzania ilikuwa na heshima na sauti kimataifa si tu katika jitihada za ukombozi kusini mwa Afrika bali pia katika mahusiano ya kisiasa, kiuchumi na kijamii baina ya nchi za Kusini na mataifa mengine duniani.

Kutokana na hali hiyo, alisema iwapo hatua hazitachukuliwa kurejesha heshima na sauti ya Tanzania kimataifa, maamuzi mengi yatafanyika yenye athari kwa wananchi wengi bila ushiriki wao thabiti kama yanayoendelea hivi sasa kuhusu Mikataba ya Kiuchumi na Nchi za Jumuia ya Ulaya (EPA) yenye madhara kwa wakulima na wenye viwanda nchini.

“Ni wakati sasa kwa Watanzania kuendelea kuunganisha nguvu ya umma kusimamia uwajibikaji na kufanya mabadiliko ya kimsingi ya kiuongozi, kisera na kimfumo ya kitaifa, ili kurejesha nafasi na heshima ya Tanzania kimataifa katika mazingira ya sasa ya ushindani wa kiuchumi, kiulinzi, kijamii na kisiasa,” alisema.

Source: Mimi mwenyewe mwana CHADEMA

Craaaaaaaaaaap hakuna kitu hapa kwa Mnyika zaidi yakutafuta umaarufu bana ! mnyika umaarufu hautafutwi kwa njia hii bana
 
Rafiki wa kweli ni yule anaekuambia ukweli, Israel wametuambia ukweli kuliko wale wanao tuambia uchumi wetu unapaaaaaaaaa wakati tuna pigika mpaka hata pesa ya kulipa wafanyakazi hatuna.....

Rafiki wa kweli kama ana nia Njema na wewe hukuita pembeni na kukwambia....! hapo amekudhalilisha kuongea public huo upuuzi!.. plus na kejeli juu yake...!

 
Huyu rais wetu katudhalilisha sana watz hata heshima aliyokuwa ametujengea nyerere imeyeyuka haipo tena.Huyu ni rais ambaye hakustahiri kuwa na viungo vya mwili vilivyo kamilifu,alistahili kuwa kirema ili aombeombe vizuri.MATAIFA MENGINE YANATUONA SISI WATANZANIA KAMA NI VIREMA WA AKILI.Hatukustahili hata kuishi kwenye hii nchi yenye asali na maziwa.
 
Back
Top Bottom