Kibona
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 1,023
- 652
Tatizo watz tumelemazwa na siasa za ccm ambazo msingi mkuu ni uongo, unafiki, fitna, wizi na ufinyu wa mawazo. Sasa tusichanganye siasa zetu na zile za israel. kule ni ukweli tupu na wakikwambia ukweli hata siku moja hawawezi kuomba msamaha maana ndivyo wanavyoamini. Sie tujiulize kuwa kwani hatuko irrelevant?