Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,675
- 13,158
CCM na Chadema hawa wote ni dugu moja.. Udhaifu umeshajitokeza ndani ya Chadema hawana jipya mambo yatakuwa yale yale.. Mimi nadhani iwepo CCM #1 na CCM#2 kieleweke.. wale wote wanaoipenda nchi yao basi wawe CCM#2(wanachama safi wasio na tamaa ambao wananchi wanawafahamu kwa dhati hata wakisimama tutasema naaam!! kweli mpo kwa ajili yetu lakini wawe wametoka CCM#1(chama tawala). Vyama vya upinzani hawana jipya ni malumbano na migogoro isiyoisha. Baada ya hapo tutawaomba CCM #1 wajiunge na Chadema kiwe chama kimoja sasa wao wawe wapinzani. Kwa mtazamo wangu