Elections 2010 Chadema hii kali

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,710
2,226
Kuna baadhi ya maeneo ya Tanzania kuna watu wanafanya kampeni very creative.
Kuna mzee huwa anapanda daladala toka Kyela anakuja nayo mpaka boda/Kasumulu na kushuka.
Akiingia huwa anawaongoza watu wote sara ya kuombea uchaguzi wa amani then baada ya sara anawaambia watu ujumbe wake ambao ni kuwa CCM imechoka kazi sasa ni zamu ya CHADEMA vinginevyo maisha yataendelea kuwa magumu daily.
 
Huwezi amini kwa siku anaweza kwenda na kurudi zaidi ya mara tano,kwa jinsi alivyo na hasira na CCM unaweza kuta ata nauli anajigharamia.
Ndo uzalendo unaotakiwa kama huu
 
Kuna baadhi ya maeneo ya Tanzania kuna watu wanafanya kampeni very creative.
Kuna mzee huwa anapanda daladala toka Kyela anakuja nayo mpaka boda/Kasumulu na kushuka.
Akiingia huwa anawaongoza watu wote sara ya kuombea uchaguzi wa amani then baada ya sara anawaambia watu ujumbe wake ambao ni kuwa CCM imechoka kazi sasa ni zamu ya CHADEMA vinginevyo maisha yataendelea kuwa magumu daily.

Mwongo wewe
 
Tuko wengi mkuu wangu tumejitolea na hata sasa nafasi bado ipo mwenye kuweza tuendelee hadi jumamosi
 
Huyo mzee huwa anafanya biashara ya kuuza kababu kwenye mabasi ya dar-mby/kyela. Anapanda kyela anenda kushuka makambako na jioni anarudi na mabasi hayohayo, wamemzoea wanampandisha bure. Ni muongeaji balaa, kama ndio ameamua kufanya kampeni basi atakua amevuta watu wengi sana. Hongera zake
 
Kuna baadhi ya maeneo ya Tanzania kuna watu wanafanya kampeni very creative.
Kuna mzee huwa anapanda daladala toka Kyela anakuja nayo mpaka boda/Kasumulu na kushuka.
Akiingia huwa anawaongoza watu wote sara ya kuombea uchaguzi wa amani then baada ya sara anawaambia watu ujumbe wake ambao ni kuwa CCM imechoka kazi sasa ni zamu ya CHADEMA vinginevyo maisha yataendelea kuwa magumu daily.


Mzee kachoshwa na hili.. Transparency International - the global coalition against corruption na mengine mengi aliyoyashuhudia hapa nchini
 
Kuna baadhi ya maeneo ya Tanzania kuna watu wanafanya kampeni very creative.
Kuna mzee huwa anapanda daladala toka Kyela anakuja nayo mpaka boda/Kasumulu na kushuka.
Akiingia huwa anawaongoza watu wote sara ya kuombea uchaguzi wa amani then baada ya sara anawaambia watu ujumbe wake ambao ni kuwa CCM imechoka kazi sasa ni zamu ya CHADEMA vinginevyo maisha yataendelea kuwa magumu daily.



Nasikuzote tunasema hiki CHADEMA ni mtandao wa kikatoliki, kampeni zao makanisani, maombi kwa yesu ndio sera zao.

Subirini kama mtashinda kwa maombi, yangekuwa yanasaidia mchungaji Slaa asingekimbia kanisani kukimbilia siasa

Tunataka sera sio maombi. Kumchagua Slaa nikuangamiza nchi !!!
 
Nasikuzote tunasema hiki CHADEMA ni mtandao wa kikatoliki, kampeni zao makanisani, maombi kwa yesu ndio sera zao.

Subirini kama mtashinda kwa maombi, yangekuwa yanasaidia mchungaji Slaa asingekimbia kanisani kukimbilia siasa

Tunataka sera sio maombi. Kumchagua Slaa nikuangamiza nchi !!!

Wewe utakuwa lazima MNUFAIKAJI wa EPA ama scandal nyinginezo, maana KWENU NYIE, DR. SLAA ni maangamizi. Acha kujiharishia kabla ya wakati, ILA lazima mtinge mahakamani.

CHADEMA hoyeeeee! TANZANIA MPYA hoyeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Back
Top Bottom