Niwaonavyo wote wamefungwa kamba shingoni ili wasitoroke kama mbuzi mtoro. Malori mangapi yalienda kuwachukua? Kwani wanaonekana wameandaliwa kufika kwenye mkutano huo kwa vile kuna sare. Chadema huwa hawana hiyo ila kila mtu kivyake tu. Hapa nani mwenye mavuno ya kweli?
ujumbe ni ule ule,vua gamba,vua gwanda vaa uzalendo tusonge mbele.