jipe moyo......... huoni hawa watu wako jukwaani? watu wa songea wanavyopenda maikutano unadhani wangeenea jukwaani? ngoja chadema waje uone kama hiki kijukwaa kitatosha....... people are waiting for M4CKweli Nape ni jembe...
Nape na Gwanda la Kijani, kama unapenda Magwanda, vaa la khaki.
Mbona sijaona sura za vijana?
Mbona wanahesabika , hakuna utekaji hapo!
Nape na Gwanda la Kijani, kama unapenda Magwanda, vaa la khaki.
Kijana kajitahidi. Mapokezi aliyoyapata si haba
Nape na Gwanda la Kijani, kama unapenda Magwanda, vaa la khaki.