Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Mbona wanahesabika , hakuna utekaji hapo!
Kwakweli hapa! hata mini nina wasiwasi kwamba huenda Fuso, Vitenge, T-shirts, Kofia na pengine Ubwabwa vimetumika.Iila subiri uone CDM itakapoingia hapo ndio utaona tofauti kati ya peoples power na jhao chumia tumbo na wafuata T-shirts na kofia
niko songea acheni uzushi kweli wa2 walikua wengi ila wamesombelewa toka maeneo mbalimbali na meng ni nnje kabisa ya mji.pia leo ni weeknd so wengi walifata burudani za vkundi vilivyo kua vki2mbuiza.pia nimeshuudia wa2 wakizomewa jioni wakati wanarudishwa kwao maeneo ya stand kuu.
xubili pcha za helkopta mkuu, utaamini tu kama ccm waliteka songi