Wiki chache tuu zilizopita kulifanyika uchaguzi wa diwani hapo Songea na CCM wakabwagwa.
Huo umati ulikuwa wapi?
Hawa ni ngumu sana kuwahesabu,yani hawasabiki kabisa aisee,nimejaribu nimekwama..chadema bwana!
Peoples power,umati mkubwa wa wananchi ukiwa kwenye mkutano wa chadema uliohutubiwa na vigogo wa juu kabisa wa chadema,mbowe na slaa...............wanaoonekana wakipiga stori jukwaani picha ya kwanza.
hao ni wana kwaya wa komba na ndugu za familia ya nchimbi
Nape na Gwanda la Kijani, kama unapenda Magwanda, vaa la khaki.
Nape na Gwanda la Kijani, kama unapenda Magwanda, vaa la khaki.
Hawa ni ngumu sana kuwahesabu,yani hawasabiki kabisa aisee,nimejaribu nimekwama..chadema bwana!
Peoples power,umati mkubwa wa wananchi ukiwa kwenye mkutano wa chadema uliohutubiwa na vigogo wa juu kabisa wa chadema,mbowe na slaa...............wanaoonekana wakipiga stori jukwaani picha ya kwanza.
...Dah!! Unanikumbusha yale masahani ya wali igunga mwaka jana. Kweli magamba wamepinda kabisa!!Sio bure, lazima Wamepikiwa Chakula CCM wanajua kuhatimisha Watu... Kwanini wanachama wana Nguo za CCM kwenye
Kila Mikutano?
xubili pcha za helkopta mkuu, utaamini tu kama ccm waliteka songi
\