Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
USA!!
utakuta mtoto wa chini kabisa anayeweza kuhudhuria kikako kama hicho ni yule wa RAS wengine woote Mkurugenzi, waziri, kamishna, katibu mkuu, mkuu X, na wanaofanana na hayo majina.
Wale wapambanaji walotoka mabagala na mwananyamala ambao hata fika yao huko ilikuwa ya kumkanda mkanda wala hawana wazo la kumsikiliza Nepi!!
utakuta mtoto wa chini kabisa anayeweza kuhudhuria kikako kama hicho ni yule wa RAS wengine woote Mkurugenzi, waziri, kamishna, katibu mkuu, mkuu X, na wanaofanana na hayo majina.
Wale wapambanaji walotoka mabagala na mwananyamala ambao hata fika yao huko ilikuwa ya kumkanda mkanda wala hawana wazo la kumsikiliza Nepi!!