CCM wawatikisa CHADEMA Houston wajikuta wapo wawili tu mkutanoni

Ukweli ni kwamba Nape anawanyima usingizi hawa jamaa toka alipoteuliwa kuwa Katibu Mwenezi na jinsi wao pamoja na mafisadi gamba wanavyomlalamikia hupati shida kujua kwamba kumbe hawa walikuwa na ushirika usio mtakatifu dhidi ya wana wa nchi hii. Nape kumbuka kwamba mti unaotumiwa mawe sana ni ule wenye matunda matamu. Mbona hawakuwa wakilialia hivi wakati wa Chiligati?
Ni hapo ninapo kupendea mheshimiwa Mbopo, kwa kweli hatakama uwezo wako wa akili yani IQ yako ni ndogo, lakini unakubali bila ukakasi kwamba mafisadi ni sehemu ya CCM na mjinga mwenzako Nepi aliingizwa mkenge asio ujua wa kuwashambulia magwiji hao bila kuwa na mkakati wa maana zaidi ya kubwata kama mbwa aliyetambalajika. Kudadadeki walah bado siku chache atarudi nyumbani Singida kwa mama yake mikono nyuma akiwa ameshughurikiwa kisawasawa!
 
Hivi huko Houston kuna UCCM na Uchadema?... ama kweli nchi imevurugika ndio maana vigumu kuunda umoja wa Watanzania maanake Uchama unatangulia heshima zote.
 
ujinga ni taaluma na inahodhiwa na ccm kila aingiaye humo hupewa kwa kiwango chake, cheti, stashahada, shahada, shahada ya uzamili mpaka shahada ya uzamivu, kumbuka zote hizo ni za ujinga, sasa nambieni nape ana stashahada au shahada ya ccm?
 
Ndugu zanguni, naomba niseme ukweli kama wengi wenu mliokuwa hapa miaka mingi mnajua kabisa kwamba mimi naipinga CCM na kuna baadhi ya viongozi wa CDM ambao sikubaliani nao hivyo nasimama kama independent.

Jana nilipita kwenye mkutano wa Nape hapo katika mji wa Houston, Mji huu wa Texas unaongoza kwa Watanzania wengi hapa Marekani ukuwa na population ya watanzania kati ya 1500-2500, ukweli ni kwamba Nape alipata watu 35 tuu. Kati ya hao 35 ni watu labda kumi na tano au chini ya ishirini walikuwa CCM na wengine walikuwa vyama vya upinzani na kina mimi tusio na chama.

Nini nimejifunza jana? Ukweli ni kwamba jana nimejifunza mambo makubwa matatu. Moja, kuamua kwetu kukaa pembeni na kutazama katika kingo wakati watu kama Nape ndio wanacheza uwanjani basi kuna siku tutafika na kusema kwamba masikini weee tazama Tanzania yetu ilipo.

Mbili, ni jambo la kushangaza how an incompetent kid like Nape secure a strong position like that in CCM? What does that tells about CCM? Jee kweli CCM itatufikisha huko tutakako? Mtu anaposema kwama " Magazeti yanatakiwa kuwa censor" this is dangerous, a person who things about censor, what else he can think over period of time? The ego ambayo Nape anayo tells more about him than anything.

Swala la tatu na la mwisho, nimejifunza kwamba nyoka dawa yake mkomeshe akiwa mdogo, akishakomaa hakuna linalowezekana. Machoni mwa Nape nimeona watu kama Gaddaffi, nimeona watu kama Hugo Chavez, nimeona watu kama Fidel Castro, nimemuona dikteta like mind jana. Ukweli ni kwamba the kid is threat to Tanzania economical development than improved. You tell me about how you improvement wilaya ya Masasi wakati leo watu wa masasi bado hawana maji, hawana dawa za kutibu malaria hawana hiki wa kile.

Ndugu zangu, kesho nitaandika why Tanzania will fail kama Mtu kama Nape atapata nafasi. I see something that many are not seeing, i see why kids like him will take us to Cuba crisis, au will take us a nightmare land.
 
Huu ndio mtikiso wa CCM kwa Chadema? Ni afadhali unapoleta mada lete na dondoo au taswiras inayotetea hoja yako, vinginevyo unachoongelea hapa ni kitu kipo hewani ambacho hakina maudhui ya kuweleweka kujadili, na haina kiwango chenye mvuto wa kujadili.

Yaani kuna watu bado wako Marekani lakini mawazo yao ni yakijinga kama huyu jamaa aliyeleta hii topic, Eti CHADEMA walitaka kuharibu mkutano wao... huyu jamaa ajiulizi miaka 50 yote ya uhuru bado mnajenga!
 
Ndugu zanguni, naomba niseme ukweli kama wengi wenu mliokuwa hapa miaka mingi mnajua kabisa kwamba mimi naipinga CCM na kuna baadhi ya viongozi wa CDM ambao sikubaliani nao hivyo nasimama kama independent.

Jana nilipita kwenye mkutano wa Nape hapo katika mji wa Houston, Mji huu wa Texas unaongoza kwa Watanzania wengi hapa Marekani ukuwa na population ya watanzania kati ya 1500-2500, ukweli ni kwamba Nape alipata watu 35 tuu. Kati ya hao 35 ni watu labda kumi na tano au chini ya ishirini walikuwa CCM na wengine walikuwa vyama vya upinzani na kina mimi tusio na chama.

Nini nimejifunza jana? Ukweli ni kwamba jana nimejifunza mambo makubwa matatu. Moja, kuamua kwetu kukaa pembeni na kutazama katika kingo wakati watu kama Nape ndio wanacheza uwanjani basi kuna siku tutafika na kusema kwamba masikini weee tazama Tanzania yetu ilipo.

Mbili, ni jambo la kushangaza how an incompetent kid like Nape secure a strong position like that in CCM? What does that tells about CCM? Jee kweli CCM itatufikisha huko tutakako? Mtu anaposema kwama " Magazeti yanatakiwa kuwa censor" this is dangerous, a person who things about censor, what else he can think over period of time? The ego ambayo Nape anayo tells more about him than anything.

Swala la tatu na la mwisho, nimejifunza kwamba nyoka dawa yake mkomeshe akiwa mdogo, akishakomaa hakuna linalowezekana. Machoni mwa Nape nimeona watu kama Gaddaffi, nimeona watu kama Hugo Chavez, nimeona watu kama Fidel Castro, nimemuona dikteta like mind jana. Ukweli ni kwamba the kid is threat to Tanzania economical development than improvement. You tell me about how you improvement wilaya ya Masasi wakati leo watu wa masasi bado hawana maji, hawana dawa za kutibu malaria hawana hiki wa kile.

Ndugu zangu, kesho nitaandika why Tanzania will fail kama Mtu kama Nape atapata nafasi. I see something that many are not seeing, i see why kids like him will take us to Cuba crisis, au will take us a nightmare land.

Asante Sana!
 
Nape anaongea sasa hivi na Watanzania wa Houston hapa. Chadema walitaka kuutumia mkutano wetu ambao unalengo zuri la kujenga nchi yetu wakajikuta wapo wawili tu. Tunashukuru kikao kinaenda vizuri mambo ya siasa yameisha watu wanachangia vizuri na Watanzania waliochangia mpaka sasa wanajenga hoja nzuri sana za kuijenga nchi. Nitaendelea kuwajuza kila kinachoendelea.

Kumbe hata huko Marekani wajinga mmefika!!!? Eti mkutano wenye lengo la kujenga nchi, ipi? what a silly topic to the great thinkers!
 
Mimi ninacho shangaa, kama Huston kuna mgogoro na watu wenyewe ndo hao kwenye picha yaani kwamba nape nod ameenda kusuruhisha, basi hiyo ni ishara tosha kuwa ccm imekufa. Kama ccm wanatumia pesa zote hizo kwa ajili ya upuuzi huo, watweza kusuruhisha migogoro ya Arusha? Time will tell
 
Vyama vya upinzania Tanzania viko vingi, kwa nini CHADEMA? Siku hizi ccm hawawezi kufanya kikao au kuhutubia umma bila kutaja CHADEMA na wakati mwingine wanasahau kuongelea sera zao wanaishia kuwasema CHADEMA! Na hii homa ya CHADEMA naona imeenda mpaka Houston! Nilidhani safari ya Houston ilikuwa kutatua mgogoro ndani ya ccm, sasa CHADEMA inakujaje kwenye 'baraza la usuluhishi?
 
Your title is misleading and full of controversy. Inaelekea kuna kitu ulitaka kusema lakini umeshindwa kufikisha ujumbe wako.
 
Mimi nashangaa sana kuhusu haya matawi ya vyama huko overseas. Ni vipi wanafaidika iwapo hata kura zao haziwezi kukubaliwa iwapo kama kuna uchaguzi ndani ya vyama au hata uchaguzi mkuu? Kuna mtu aweza kunijulisha umuhimu wake?
 
Ndugu zanguni, naomba niseme ukweli kama wengi wenu mliokuwa hapa miaka mingi mnajua kabisa kwamba mimi naipinga CCM na kuna baadhi ya viongozi wa CDM ambao sikubaliani nao hivyo nasimama kama independent.

Jana nilipita kwenye mkutano wa Nape hapo katika mji wa Houston, Mji huu wa Texas unaongoza kwa Watanzania wengi hapa Marekani ukuwa na population ya watanzania kati ya 1500-2500, ukweli ni kwamba Nape alipata watu 35 tuu. Kati ya hao 35 ni watu labda kumi na tano au chini ya ishirini walikuwa CCM na wengine walikuwa vyama vya upinzani na kina mimi tusio na chama.

Nini nimejifunza jana? Ukweli ni kwamba jana nimejifunza mambo makubwa matatu. Moja, kuamua kwetu kukaa pembeni na kutazama katika kingo wakati watu kama Nape ndio wanacheza uwanjani basi kuna siku tutafika na kusema kwamba masikini weee tazama Tanzania yetu ilipo.

Mbili, ni jambo la kushangaza how an incompetent kid like Nape secure a strong position like that in CCM? What does that tells about CCM? Jee kweli CCM itatufikisha huko tutakako? Mtu anaposema kwama " Magazeti yanatakiwa kuwa censor" this is dangerous, a person who things about censor, what else he can think over period of time? The ego ambayo Nape anayo tells more about him than anything.

Swala la tatu na la mwisho, nimejifunza kwamba nyoka dawa yake mkomeshe akiwa mdogo, akishakomaa hakuna linalowezekana. Machoni mwa Nape nimeona watu kama Gaddaffi, nimeona watu kama Hugo Chavez, nimeona watu kama Fidel Castro, nimemuona dikteta like mind jana. Ukweli ni kwamba the kid is threat to Tanzania economical development than improved. You tell me about how you improvement wilaya ya Masasi wakati leo watu wa masasi bado hawana maji, hawana dawa za kutibu malaria hawana hiki wa kile.

Ndugu zangu, kesho nitaandika why Tanzania will fail kama Mtu kama Nape atapata nafasi. I see something that many are not seeing, i see why kids like him will take us to Cuba crisis, au will take us a nightmare land.
Jamaa ongo hili, wewe ulikuwepo hapo unatafuta nini?Ulikwenda kuhesabu ni watu wangapi wamekuja kwenye mkutano?
 
Nape anaongea sasa hivi na Watanzania wa Houston hapa. Chadema walitaka kuutumia mkutano wetu ambao unalengo zuri la kujenga nchi yetu wakajikuta wapo wawili tu. Tunashukuru kikao kinaenda vizuri mambo ya siasa yameisha watu wanachangia vizuri na Watanzania waliochangia mpaka sasa wanajenga hoja nzuri sana za kuijenga nchi. Nitaendelea kuwajuza kila kinachoendelea.
craaaaaaaaap
Nape mikutano ya ndani tanzania imemshinda sembuse hiyo ya nje
 
Nilipata nafasi ya kuona clip ya mkutano ule wa Nape pale Houston. Kwanza kabisa napenda kumpa pongezi nyingi sana Nape kwa kuwa ni mmoja kati ya viongozi wachache wa Tanzania ambao wamethubutu kutia mguu Houston. Katika sehemu zote ughaibuni ambazo watanzania wanaishi, Houston imekuwa na umuhimu wake kutokana na kuwepo watanzania wengi ambao wapo katika mirengo tofauti lakini mwishowe huibuka kama watu wenye nguvu na ushawishi mkubwa sana kisiasa na kijamii.

Maongezi ya Nape yalijikita zaidi kusikiliza masuala na ushauri mbalimbali kutoka kwa watanzania na kuweza kuwapa ufafanuzi kwa yale ambayo yalikuwa ndani uwezo kuyajibu na pia hakusita kuyachukua mengineyo ambayo yalikuwa yanahusu maeneo na kuahidi kuyafikisha katika sehemu zile husika na kuahidi kufuatilia majibu. Pia aliweza kupokea ushauri mbalimbali kwa lengo la mawazo hayo kusaidia katika kujenga na kusuma mbele gurudu,u la maendeleo ya taifa letu.

Haya hivyo nilivutiwa sana hasa pale alipohimiza wanasiasa wa upinzani kujenga uvumilivu ndani ya vyama vyao badala ya kuwa wepesi kuvihama vyama hivyo na kukimbilia CCM. Aliwaasa hasa vijana kuwa na misimamo thabiti itakayosaidia kujenga nchi yetu na kurithisha vizazi vijavyo Tanzania yenye amani na neema tele.

Nilipata nafasi ya kusikia juhudi zake alizozifanya kwa muda mfupi akiwa DC pale Masasi, ni wazi kabisa vijana tunatakiwa tunapopewa nafasi za uongozi tuwe waadilifu na wachapa kazi bila ya kujali itikadi za kisiasa. According to maelezo yake aliweza kuwaunganisha wananchi wa masasi watambue kuwa hatima ya maendeleo yao inawategemea wana masasi wenyewe, aliwahimiza kila mwenye uwezo wa kufanya kazi afanye hasa kilimo. Nilifurahishwa kwamba hakuhubiri au kuhimiza hayo kwa maneno tu, kwani alikuwa wa kwanza kutafuta shamaba na kuanza kulima ili kuonesha mfano. Hili ni jambo la kuigwa sana kwani viongozi wengi wanadhani kuhimiza peke inatosha bali mfano ni muhimu sana.

Nimeitafsi ziara ya Nape kama sehemu moja muhimu ya kuwataka watanzania waelewe kuwa pamoja ya kwamba wananishi nje ya nchi lakini utanzania wao bado ni muhimu kwa nchi yao na viongozi wanajitahidi kuwaunganisha. Kwa mtazamo wangu, ningependa kuona viongozi mbalimbali ambao wanafika sehemu kama Marekani na kwingineko wanapopata nafasi wawafikie na kuongea watanzania wenzao na kubadilishana uzoefu baina ya pande mbili.

Mwisho, Tanzania kama taifa ni lazima liwe na viongozi ambao wataaminiwa kupewa dhamana ya kuongoza, mimi binafsi sina shaka na uwezo wa Nape na yale anayoyasimamia. Tunajua baadhi ya matatizo ya nchi yetu ni pamoja na rushwa na uwajibikaji, nina hakika kwa haya na mengine ambayo Nape ameamua kuyapa kipaumbele akiungwa mkono na wapenda haki na maendeleo wengine tutaweza kuona chama kikiiwajibisha serikali yake kutimiza yale iliyoahidi wananchi wakati wakuomba kura kwenye uchaguzi kupitia ilani yake. Nape simamieni serikali ya CCM iweze kuwatumikia wananchi kama ilivyoahidi.
 
box boys bwana!!!! Mnaongea kuijenga Tz wakati kipato chenu kinaishia USA mnashindwa hata kuwatumia hela ya vocha ya simu wazazi wenu.
kwanza watuambie wanafanya nini ughaibuni, sio wanakurupuka tu hapa!!
kama wanakaanga mandazi...wao wanaita donuts basi warudi bongo wasaidiane na mama na baba lishe kuendeleza taifa hili..........shenzi zao!!
 
Back
Top Bottom