Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,099
Ingekuwa CHADEMA kingetajwa kama chama cheye mfumo wa kifalme, lakini kwa kuwa ni CCM, sawa tu, A Mornach party. i.e Makamba senior & Junior, Nnauye Senior & Junior, Sumari Senior & Sumari junior, Mwinyi senior & Mwinyi Junior, Karume senior & Karume Junior, Kikwete & Ridhiwan, Kawawa Senior vs Junior, Wasira senior vs junior, Masauni senior Vs Junior, Mongela senior vs junior, Mapachu senior vs junior, mzindakaya senior vs junior orodha ni ndefu inayotengeneza mpaka mduara wa ufisadi. Na wewe ongezea uwajuao.
Hapo mbona tafauti