Jamaa wamekosa ubunifu wakaangukia kulekule tunapo taka sisi,wao wanasema V4C,wagagaduzi wa mambo wakagagadu.V4C=VOTE FOR CHADEMA.{ R.I.P Sisiem Siyuefu}hakuna mtu anaweza badilisha mda wa kuanguka ukifika,hata waungane wataanguka tu.
Makala nzito sana, nampongeza mwandishi ila simfahamu jamaa ni Joster Mwangulumbi look liker ameongea ukweli wa mambo. Chadema chama kubwa.
makala hii imeenda shule hongera sana mleta maada. lakini nasema ukweli utabaki ukweli tu hata wakizuia CDM kufanya mikutano wananchi wanajua kuna nini kinaendelea ndani ya nchi kwa hiyo hofu hatuna ccm lazima ionje joto la jiwe 2015
Jamaa wamekosa ubunifu wakaangukia kulekule tunapo taka sisi,wao wanasema V4C,wagagaduzi wa mambo wakagagadu.V4C=VOTE FOR CHADEMA.{ R.I.P Sisiem Siyuefu}
Kuizuia M4C ni sawa na kujidanganya kuwa unaweza kuzuia tsunami isilete uharibifu ni ndoto za mchana.
Mabadilko kupitia M4C ni lazima hata kama wataungana vyama vyote vilivyopo ndani ya Tanzania vikashindana
na Chadema kamwe hawatashinda maana Mungu yu upande wa CDM tayari kwa ukombozi wa Tanzania either
wanataka au hawataki ni hivyo.
Serikali ya Zanzibar inaundwa na vyama gani vile? Maalim Sefu ni makamu wa kwanza wa raisi wa nchi gani vile?kweli system imefanikiwa kuwafanya wajinga waamini chadema ni chama cha upinzani wakati chadema = ccm remix.......chadema na ccm wanatamani cuf iwe haina saport kabisaa kama SAU au NRA, lakini ndo haiwezekani !!......baadhi yenu badala ya kuandika hoja mnaamua kutukana, na hii ndo inathibitisha kuwa hamna hoja za kuibeza CUF, ni rooho mbaya tu na chuki binafsi mlizonazo!!
Wasikae wakidhani kueneza chama ni kupitia mikutano ya hadhara tu, tutatumia njia zote zilizopo kuhakikisha chama kinaenea kila kona ya hii nchi! Chadema ni kisima cha mawazo mapya!
Aaah mambo kwelikweli, chama cha wapemba bwana! Yaani unahamisha wanachama toka eneo moja na jingine, yaleyale ya magamba! Cdm endelezeni M4c, msiwafuate hao wana Uamsho!