Ni halali yao kisheria, maana hukumu ikisomwa inatoa uhuru wa refaa!!
Good luck CCM.
Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya kutafakari na kupitia hukumu ya kesi ya jimbo la Igunga dhidi ya Dr. Kafumu wameamua kukata rufaa. Source Issa Michuzi
MICHUZI