Chadema mlishindwa kesi ya Arusha mkakata rufani hapo ninyi ilikuwa halal i. Tena mlikata rufani kinyume cha Godbless Lema ambae Ali'sema tayari kurudi kwa wananchi, lakini kwa kutuambia jinsi wananchi wa Arusha walivyochoka na fujo zenu, mliamua kupata rufani ili kuepuka aibu ambayo mngepata kama mngeingia kwenye uchaguzi Wakati kabla wanung'unikaji hawajaleta mafungu. Sioni man tiki ya kupinga kelele CCM ikiamua kukata rufani. After all grounds za kukata rufaani zako wazi.
Wanasheria hawawezi achia hela ya wazi hata kama wanajua kuwa huwezi kushinda. Let them appela. kwa mwenendo wa kesi, sidhani kama kweli watatoka. Advocates kuleni hele ye bure hiyo!
Ni ukweli usiopingika kuwa hata wakikata rufaa hawatashinda,Lengo ni kuchelewesha uchaguzi wa Igunga.CCM nadhani wanataka kutuambia alichofanya Magufuli, rage ni sawa kabisa
wanataka kutuambia kwao aspichaguliwa mwana CCM eneo hilo litatengwa
wanataka kutuambia kugawa mahindi na vyakula na kauli za vitisho wakati wa kampeni ni sawa
nina mashaka na bongo zao.lengo la kusumbua mahakama na kuwacheleweshea wana Igunga haki ya kuwakilishwa bungeni
chama cha mapinduzi wakata rufaa kupinga hukumu ya kutengua ubunge wa dr Kafumu
hawajaridhishwa na hukumu ya jana.
je tutafika?
source michuzi
Chadema mlishindwa kesi ya Arusha mkakata rufani hapo ninyi ilikuwa halal i. Tena mlikata rufani kinyume cha Godbless Lema ambae Ali'sema tayari kurudi kwa wananchi, lakini kwa kutuambia jinsi wananchi wa Arusha walivyochoka na fujo zenu, mliamua kupata rufani ili kuepuka aibu ambayo mngepata kama mngeingia kwenye uchaguzi Wakati kabla wanung'unikaji hawajaleta mafungu. Sioni man tiki ya kupinga kelele CCM ikiamua kukata rufani. After all grounds za kukata rufaani zako wazi.
Hakika umenena vema.CCM wameshaanza kuexperience upinzani sasa maana mwaka 2015 kesi za CCM zitakuwa nyingi sana za kupinga matokea