William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Ujumbe wangu kwa chama changu CCM:-
- Kijivua gamba is supposed to a black and white thing, so lets do it now badala ya kusubiri siku 90, I mean what are waiting for? Ninasema hivi hawa mapacha watatu wafukuzwe chama now na vibaraka wao wote, tukianza na hawa hapa;-
- Mkapa, Sophia Simba, Msekwa, Anna Abadallah, Kingunge, Shemuhuna, Khatibu, Serukamba, Mzindakaya, Rita Mlaki, David Msuya, Mahanga, Chiligati, Makamba, Guninita, Nchimbi, Kigoda, Ndejembi, Kusila, na wengine tutaendelea kuwataja hapa pole pole,
- Well, TAIFA KWANZA kama kweli CCM tunataka kujivua gamba then tuanze na hawa sasa hivi, ukItaka kumpiga nyani usimuangalie usoni, just do it and now, kama CCM we are serious ni lazima tuanze na hawa, wafukuzwe chama, tuanze upya, hawa ndio wametuvalisha magamba hiki chama.
Tufike mahali tusioneane haya, tuambiane ukweli now lets do it! And yes I said it! CCM ni chama cha Mapinduzi sio kuoneana huruma na aibu! au kubebana! Kama hatuwezi mapinduzi tuondoe hilo neno mwishoni!, iwe CC tu!
William Malecela @ NYC, USA.
- Kijivua gamba is supposed to a black and white thing, so lets do it now badala ya kusubiri siku 90, I mean what are waiting for? Ninasema hivi hawa mapacha watatu wafukuzwe chama now na vibaraka wao wote, tukianza na hawa hapa;-
- Mkapa, Sophia Simba, Msekwa, Anna Abadallah, Kingunge, Shemuhuna, Khatibu, Serukamba, Mzindakaya, Rita Mlaki, David Msuya, Mahanga, Chiligati, Makamba, Guninita, Nchimbi, Kigoda, Ndejembi, Kusila, na wengine tutaendelea kuwataja hapa pole pole,
- Well, TAIFA KWANZA kama kweli CCM tunataka kujivua gamba then tuanze na hawa sasa hivi, ukItaka kumpiga nyani usimuangalie usoni, just do it and now, kama CCM we are serious ni lazima tuanze na hawa, wafukuzwe chama, tuanze upya, hawa ndio wametuvalisha magamba hiki chama.
Tufike mahali tusioneane haya, tuambiane ukweli now lets do it! And yes I said it! CCM ni chama cha Mapinduzi sio kuoneana huruma na aibu! au kubebana! Kama hatuwezi mapinduzi tuondoe hilo neno mwishoni!, iwe CC tu!
William Malecela @ NYC, USA.