Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 3,951
- 5,980
Tumesoma katiba ya CCM kama vile wachina wanavyosoma fikra za mwenyekiti Mao!,apa Tanzania kuna watu walijito kwa kila kitu ata mali zao,laiti leo mzee Mwinjuma(Mwananyamala)Mzee Tambaza (ambae aligawa most of his land to TANU-muhimbili,Tambaza school etc)VITUKUU VYAO ATA CCM AIWAJUI na wengineo Wangefufuka leo wangekuwa wakwanza kushika mpini wa AK 47 kupambana na mafisadi