Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
William,
Hii ni moja ya thread chache ambazo zimesema wazi upo ugumu wa kujivua gamba kama matatizo yaliyosababisha hayo magamba hayajashughulikiwa kwanza.
Lakini bado najiuliza ni kwanini unafikiri uliowataja ndio haswa wenye kubeba dhamana ya kuotesha magamba ndani ya ngozi ya chama tawala? pengine ungeenda mbali zaidi kwa kutaja wazi wazi magamba waliyoyaotesha as individuals ili tupambanue vizuri zaidi.....na mwisho kabisa nakubaliana na wewe kwamba hapa tulipo hatuwezi kuthubutu kufanya yale tunayofikiri tunataka kufanya. Kwahiyo pengine njia mbadala ni kubadili jina hata kama ni kwa muda mpaka pale tutakapokuwa tayari kutekeleza kwa dhati na kweli dhana nzima ya mapinduzi katika maendeleo ya jamii inayotuzunguka.
Hii ni moja ya thread chache ambazo zimesema wazi upo ugumu wa kujivua gamba kama matatizo yaliyosababisha hayo magamba hayajashughulikiwa kwanza.
Lakini bado najiuliza ni kwanini unafikiri uliowataja ndio haswa wenye kubeba dhamana ya kuotesha magamba ndani ya ngozi ya chama tawala? pengine ungeenda mbali zaidi kwa kutaja wazi wazi magamba waliyoyaotesha as individuals ili tupambanue vizuri zaidi.....na mwisho kabisa nakubaliana na wewe kwamba hapa tulipo hatuwezi kuthubutu kufanya yale tunayofikiri tunataka kufanya. Kwahiyo pengine njia mbadala ni kubadili jina hata kama ni kwa muda mpaka pale tutakapokuwa tayari kutekeleza kwa dhati na kweli dhana nzima ya mapinduzi katika maendeleo ya jamii inayotuzunguka.