KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
Hii ndiyo hali halisi ndani ya CCM inayoonyesha hawana jipya halafu hiyo picha hapo juu mpiganaji dhdi ya mafisadi Mama Kilango alikubali fisadi Lowassa naye awe mualikwa? au tinga lilitia kifua? Hakuna jipya kwenye hivi vikao ni USANII MTUPU!!!.[/B]
one word, PROPAGANDA! yaani kuonyesha chama kipo hai wakati chama kipo ICU