William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,364
- Thread starter
- #61
Mkulu FMES, bado hakuna nyeti iliyopenyeza toka kwenye kamati ya maadili? walikuwa wanamjadili nani kule? ndugu yangu Dkt.Harisson Mwakyembe au Rostam Aziz?? najua hawawezi kumgusa Rostam Aziz kama chama lakini wanaweza kumgusa Mwakyembe kwasababu si mfadhili(kwa mtindo wa kifisadi) wa chama wala si fisadi.
- Hawa hawajaguswa kwanza alikuwa anasubiriwa Muungwana, kwa hiyo za betweeen za leo usiku na kesho, kutakuwa na habari zao hawa maana jana Muungwana kwenye sherehe za Malecela, alimsifia sana Mama K na kuwatesa mafisadi, na akasema hajui uchaguzi ujao mafisadi watapita wapi.
- Alipomaliza aliacha nyuma ming'ono mingi sana, kama kweli yuko serious na aliyoyasema au ni zile zake za kawaida, maana alisema mengi sana mazito jana na kuwaacha viongozi wengi wamepigwa na mshangao!
Respect.
FMES!