William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #101
Ina maana Mzee amekabidhiwa tena lile jukumu lake la U-TINGATINGA alilokuwa akilalama wakati akipigwa chini wakati wa uchaguzi wa mgomea wa CCM 2005?
omarilyas
- Maneno yamepitwa na wakati haya mkuu, vipi hakuna mapya? Mbona ndugu yetu Beno mgombea wa mafisadi alipigwa chini uenyekiti wa UV-CCM kwani amekufa?
- Ungeanza kuongelea utinga tinga wa Beno kwanza mkuu, au? Bwa! ha! ha!
FMES