nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
SOURCE Faustine Ndugulile FACEBOOK
Results out: Ramadhan Madabida is the new Dar Es Salaam CCM chairman. Congrats!
Awali Madabida alijikuta katika wakati mgumu wakati akijinadi baada ya mjumbe mmoja kumuuliza swali kuhusiana na kiwanda chake kudaiwa kutengeneza dawa bandia za kupunguza makali ya Virusi vya Ukimwi za ARV.
Hata hivyo, Msimamizi wa uchaguzi huo, Assa Simba alimzuia Madabida kujibu swali hilo akisema kwamba haukuwa wakati wake.
Awali, akifungua mkutano wa uchaguzi huo, Makamu wa Rais, Dk Gharib Bilal alisema kuwa chama hicho kimelenga kurudisha majimbo yake yote yaliyochukuliwa na wapinzani katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
"Natumaini uchaguzi utakuwa wa haki bila vurugu zozote, nawaomba msiwe na wasiwasi kwani chama chenu kipo imara kuwakabili wapinzani," alisema Dk Bilal.
SOURCE: MWANANCHI
Results out: Ramadhan Madabida is the new Dar Es Salaam CCM chairman. Congrats!
Awali Madabida alijikuta katika wakati mgumu wakati akijinadi baada ya mjumbe mmoja kumuuliza swali kuhusiana na kiwanda chake kudaiwa kutengeneza dawa bandia za kupunguza makali ya Virusi vya Ukimwi za ARV.
Hata hivyo, Msimamizi wa uchaguzi huo, Assa Simba alimzuia Madabida kujibu swali hilo akisema kwamba haukuwa wakati wake.
Awali, akifungua mkutano wa uchaguzi huo, Makamu wa Rais, Dk Gharib Bilal alisema kuwa chama hicho kimelenga kurudisha majimbo yake yote yaliyochukuliwa na wapinzani katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
"Natumaini uchaguzi utakuwa wa haki bila vurugu zozote, nawaomba msiwe na wasiwasi kwani chama chenu kipo imara kuwakabili wapinzani," alisema Dk Bilal.
SOURCE: MWANANCHI