Atakuja na Condoms Fake sasa
yakhe zinaa ni uchafu
Atakuja na Condoms Fake sasa
Mwenyekiti wetu kazi uliyonayo ni kurudisha majimbo yetu tuliopoteza
SOURCE Faustine Ndugulile FACEBOOK
Results out: Ramadhan Madabida is the new Dar Es Salaam CCM chairman. Congrats!
Awali Madabida alijikuta katika wakati mgumu wakati akijinadi baada ya mjumbe mmoja kumuuliza swali kuhusiana na kiwanda chake kudaiwa kutengeneza dawa bandia za kupunguza makali ya Virusi vya Ukimwi za ARV.
Hata hivyo, Msimamizi wa uchaguzi huo, Assa Simba alimzuia Madabida kujibu swali hilo akisema kwamba haukuwa wakati wake.
Awali, akifungua mkutano wa uchaguzi huo, Makamu wa Rais, Dk Gharib Bilal alisema kuwa chama hicho kimelenga kurudisha majimbo yake yote yaliyochukuliwa na wapinzani katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.
Natumaini uchaguzi utakuwa wa haki bila vurugu zozote, nawaomba msiwe na wasiwasi kwani chama chenu kipo imara kuwakabili wapinzani, alisema Dk Bilal.
SOURCE: MWANANCHI
Hapa ndipo huwa naisikitikia sana nchi hii. Mtu kama huyo Madabida anakabiliwa na moja ya kashfa kubwa na hatari sana ktk historia ya Tanzania. Kashfa ya kiwanda ambacho wao ni wabia kutengeneza na kusambaza dawa za ARV na kuweka maelfu ya afya za wananchi wa nchi hii hatiani. Lakini eti katikati ya hayo anachaguliwa kuwa kiongozi (wa CCM) mkoa kama Dar!!??
Sijui kuna uhusiano gani wa nguvu kati ya mafisadi na utawala wa nchi hii, to me it's closer to a mystery really.
Guninita hajawahi kuwa Kambinya lowassa...Kambi ya lowassa haina viazi Kama guninita
wana ccm ndio wanatuangusha ktk nchii hii,pamoja na wizi wa dawa feki za arvs bado wanamchagua!
siku za mwisho hata ndugu yako anaweza kukukana,sembuse mwana kambi!