Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
hivi kwa nini tunawanyenyekea hawa wa Zanzibar kiasi hiki? kuna faida gani tunapata kutokana na huu muungano wa kijinga?
Ivi Rage, juma nkamia na yule profesa wa Tanga,,wanaruhusiwaje kuchangia ishu ya katiba?
hivi kwa nini tunawanyenyekea hawa wa Zanzibar kiasi hiki? kuna faida gani tunapata kutokana na huu muungano wa kijinga?
ukitazama hizi nchi mbili ulizozitolea mfano uwajobikaji wao katika majukumu ya kitaifa ni tofauti na tz, wale wenzetu waziri akijikoroga kidogo tu anajiwajibisha mwenyewe na kuwaachia wengine lakini si tanzania ambapo licha ya kuwajibika mwenyewe hata mkubwa wake hawezi kumuwajibisha hivyo basi tunataka katiba itakayokuwa na vipengele vitakavyowabana hawa viongizi wetu na wa kuwahoji kwa kila kitu ambacho tunaona hawakwenda sawaAsante sana kwa maoni yako. Kama unaamni kuwa katiba ndio jibu, je, mbona ungereza haina written document na inayo maadili yake? China je?
Asante sana kwa maoni yako. Kama unaamni kuwa katiba ndio jibu, je, mbona ungereza haina written document na inayo maadili yake? China je?