Jengo la Bunge Dodoma, na mitaa yote posta. Hivi mnadhani wanenu watalipaje ada kwani mavazi yao ni cheap, gauni fupi means kitambaa kidogo, jinsi iliyochakaa maana yake bei rahisi. Waacheni wasave pesa ili walipe ada. Wivu tu kaona yeye hapendezi au hana hizo nguo.Haya maandamano yanapitia wapi?